Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

Pamba house chini kulikuwa na disco
Watu wachache sana walikuwa wanajua

Unazikumbka basi za siri yako

Ova
Nakumbuka bwashee yule mama tajiri alikuwa anaishi Kinondoni karibu na bwawani kama unaenda mahakamani!

Ila kuna zile Mkaramo Dar - Tanga bado ziko bwashee.

Siri Yako ilikuwa Dar - Dodoma!
 
Nakumbuka bwashee yule mama tajiri alikuwa anaishi Kinondoni karibu na bwawani kama unaenda mahakamani!

Ila kuna zile Mkaramo Dar - Tanga bado ziko bwashee.

Siri Yako ilikuwa Dar - Dodoma!
Alishavuta mama haonekani
Mtu wa kujificha sana,alikuwa mrangi yule
Mweupeee mzuri hahah
Ila mm nishamgumiaga,enzi za utundu tushaendaga kupiga mataili kwake tulipewa mchngo na mzee mmja wa kaskazini
Hahaha
Tulidakwa mzee pale kutoka tu
Nakumbuka mzee buibui kessy alikuja kututoa hahah
Mama alikuja filisika vibaya sana hizi biashara soooo

Ova
 
Alishavuta mama haonekani
Mtu wa kujificha sana,alikuwa mrangi yule
Mweupeee mzuri hahah
Ila mm nishamgumiaga,enzi za utundu tushaendaga kupiga mataili kwake tulipewa mchngo na mzee mmja wa kaskazini
Hahaha
Tulidakwa mzee pale kutoka tu
Nakumbuka mzee buibui kessy alikuja kututoa hahah
Mama alikuja filisika vibaya sana hizi biashara soooo

Ova
Hahahaaaa....... Buibui jirani na kwa akina Josia duh long time!
 
Hahahaaaa....... Buibui jirani na kwa akina Josia duh long time!
Hahaha mzee buibui mzee wa wanyama
Kitambo katutimbilisha sana na mambo yake ya wanyama
Sabasaba lazima atupeleke,ruvu kule kwenye ranch yake katupeleka sana kupiga kazi
Ila namkubali sana alikuwa bonge la mjasiriamali
Tulikuwa tunampigaga sana mayai ya mbuni
Kuna siku sasa za mwizi 40,kwenye kupiga kumbe mama mtu mbuni hakuwa mbali
We wacha atukimbize mwenzangu alipigwa teke la kifuani mpaka akazimia,bwasheh teke la mbuni we lisikie tu
Kilichoniokoa mm nlikimbilia chini ya mti mbuni kuja kujikunja si hawezi hapo ndy nlisave,na maujanja mengi mzee kessy buibui alikuwa anatupaga...
Alipokuja mzee mwenyewe maana alikuwa mhuni tu,wacha tuchezee nakoz kesi ikaisha
Maisha yakaendelea

Ova
 
Alishavuta mama haonekani
Mtu wa kujificha sana,alikuwa mrangi yule
Mweupeee mzuri hahah
Ila mm nishamgumiaga,enzi za utundu tushaendaga kupiga mataili kwake tulipewa mchngo na mzee mmja wa kaskazini
Hahaha
Tulidakwa mzee pale kutoka tu
Nakumbuka mzee buibui kessy alikuja kututoa hahah
Mama alikuja filisika vibaya sana hizi biashara soooo

Ova

Akili yangu ya utopolo nilijua maza mwarabu maana rafiki zake wengi waarabuarabu kumbe nilipotea sijui aseee
 
Hahaha mzee buibui mzee wa wanyama
Kitambo katutimbilisha sana na mambo yake ya wanyama
Sabasaba lazima atupeleke,ruvu kule kwenye ranch yake katupeleka sana kupiga kazi
Ila namkubali sana alikuwa bonge la mjasiriamali
Tulikuwa tunampigaga sana mayai ya mbuni
Kuna siku sasa za mwizi 40,kwenye kupiga kumbe mama mtu mbuni hakuwa mbali
We wacha atukimbize mwenzangu alipigwa teke la kifuani mpaka akazimia,bwasheh teke la mbuni we lisikie tu
Kilichoniokoa mm nlikimbilia chini ya mti mbuni kuja kujikunja si hawezi hapo ndy nlisave,na maujanja mengi mzee kessy buibui alikuwa anatupaga...
Alipokuja mzee mwenyewe maana alikuwa mhuni tu,wacha tuchezee nakoz kesi ikaisha
Maisha yakaendelea

Ova
Hiyo mitaa nilikuwa napitapita sana kulikuwa na jamaa yangu pale kwa mzee Komakoma, Frank halafu alikuwepo Dougras Mpoto na John Vulata.

Hapo national housing karibu na buibui kulikuwa na bibi mmoja mkimbizi alikuwa na wajukuu zake akina Everyn Mpangala.

Fuh bwashee kitambo sana.

Kule mbele ndio unawakuta mabaharia akina Masoud, kule kwa akina Nassoro Mamba ukirudi kwa akina Sarota na yule Geza aliyechukua meli ya mafuta.

Umenikumbusha mbali sana bwashee!
 
Hiyo mitaa nilikuwa napitapita sana kulikuwa na jamaa yangu pale kwa mzee Komakoma, Frank halafu alikuwepo Dougras Mpoto na John Vulata.

Hapo national housing karibu na buibui kulikuwa na bibi mmoja mkimbizi alikuwa na wajukuu zake akina Everyn Mpangala.

Fuh bwashee kitambo sana.

Kule mbele ndio unawakuta mabaharia akina Masoud, kule kwa akina Nassoro Mamba ukirudi kwa akina Sarota na yule Geza aliyechukua meli ya mafuta.

Umenikumbusha mbali sana bwashee!
Teh teh

Ova
 
Yupo na lorry saivi kuna kipindi alikuwa adventure dar kigoma akaacha
Yeye ni kama chanzo cha malori kutokuwa na tandiboi, nakumbuka mwaka 99/2000 alikuwa TIOT na lori la mafuta. Wenzie akina Zimbwe, Dirunga, Kandanga na wengine wakapewa wasaidizi yeye akakataa (boss alikuwa Sahau Kambi), baadaye naye Kandanga akamuiga, akamshusha msaidizi wake.
Safari ya Zambia ndani ya wiki walikuwa wanageuka kupakia tena.
 
Alishavuta mama haonekani
Mtu wa kujificha sana,alikuwa mrangi yule
Mweupeee mzuri hahah
Ila mm nishamgumiaga,enzi za utundu tushaendaga kupiga mataili kwake tulipewa mchngo na mzee mmja wa kaskazini
Hahaha
Tulidakwa mzee pale kutoka tu
Nakumbuka mzee buibui kessy alikuja kututoa hahah
Mama alikuja filisika vibaya sana hizi biashara soooo

Ova
Inabidi uokoke sasa....
 
Kwani ukiwa dereva unaendesha gari kwa kuangalia taa za break za aliyeko mbele yako? Hapa sio kosa la Giriki bali la aliyekuwa anaendesha Shabiby
Usiwe mbishi wewe,shabiby iliua wate akapona mtoto mdogo kwa ujinga huu
Dreva alifanyiwa ujinga huu
Jamaa Taa za break alitoa
 
Back
Top Bottom