Fredwash
JF-Expert Member
- Oct 27, 2009
- 1,400
- 2,010
dah kweli kitambo... sie tulikuwa madogo kiasi so tulikuwa sana sana tunashabikia.. maana mpira ule zaman wa kihuni sana... yaani mpira kuisha mtu kapasuliwa kitu cha kawaida...Aisee......mimi nilikuwa nachezea timu ya Lion uwanja wetu ulikuwa pale ilipojengwa hospitali ya mwananyamala baada ya kuitanua.
Pale chini palikuwa na timu ya Ajax ya akina Joseph Katuba na Mwangata.
Kitambo sana bwashee!
mechi zetu za chandimu tunachezea msisiri uwanja wa msufini karibu na kwa fundikira
enzi hizo watoto wa kina fundikira waliotoka ulaya wazungu wa meli .. wanakuja na wachumba wa kizungu pale mtaani