Ni mwanaharakati Wa kulipwa.Yule nae ni mwanaharakati?
Kumbe yule ndiye Musiba aisee.Yupo huko facebook anajiita Veronika France
The nature have selected. system haimpi favor tena
Pia anatumia Jina la Dada Tanzania yeye sikuzote haoni jema linalofanywa rais wetu kila kitu kwake ni kibaya tu, in short amekata moto kabisa,namkanya hapa hapa ""AACHE KUPIMA KINA CHA MAJI HII NI AWAMU YA SITA""Yupo huko facebook anajiita Veronika France
πππππJina jingine anajiita Mtoto wa Mkulima amekoma kabisa kutukana viongozi wastaafu kwenye vipeperushi vyake, ulinzi wake umeondoka bado haamini, tender za kutangaza matangazo ya serikali haipo tena, nadhani na ule ulinzi alowekewa na Mungu wake Jiwe umeondolewa
Duuh, kumbe jamaa nafsi inahangaika! Kwanini alichagua kuwa chawa?Jina jingine anajiita Mtoto wa Mkulima amekoma kabisa kutukana viongozi wastaafu kwenye vipeperushi vyake, ulinzi wake umeondoka bado haamini, tender za kutangaza matangazo ya serikali haipo tena, nadhani na ule ulinzi alowekewa na Mungu wake Jiwe umeondolewa