cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Weka hiyo video apa wengine hiyo Instagram tumeunstall kitambo.
Kawaida watu wenye pesa kama John Pombe wanavaa simple sana.Kaka ile kofia mimi haijanishangaza sana, ila ULE MRABA ALIOVAA, ha ha, halafu mwenyewe anajiona ametokelezeeeeea, kumbe ni kituko.
Huo muda haupo mkuu kwani kunafaida gani kubwa nisumbuke kwenda kutafuta clip ya kukemeana kwenye hizo websites na apps kisa nimesoma jf,kwani jf sio chanzo cha taarifa kinacho jitosheleza kuweka video,picture,slides na attachments mbalimbali,ingependeza ange ambatanisha apa bhana.Kwanini huwa mnafikiri kila kitu kipo insta tu.. kwa bloggers na watubkama akina Michuzi, Ayo umechungulia websites zao na kuzikosa? Youtube huko kuliko namba moja umesechi hukuziona?
Mjiongeze shaaaa
Kutokuwa Instagram sio kuwa na chati..
Mitwango ndo kitu gani?Alikuwa binamu yake kutoka Chato, ndiye aliyemletea na ile mitwango aliyokuwa amevaa!
Kweli kabisa mkuu, wabongo wana majungu sana, raba zile, nguo zile wao zinawahusu nini, wao wanaweza kuona za kawaida lakin ukienda dukan bei yaor haishikiki, wanadhan amenunua karume
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jina la mitwango tulimpa teacher wetu haaa haa umenikumbusha mbali sana haaa haaaAlikuwa binamu yake kutoka Chato, ndiye aliyemletea na ile mitwango aliyokuwa amevaa!
Achana na watumishi waliokuw nyuma,yule aliyekaa meezani ni mama janeth na ndio alikuw anaongea!Mkuu yule ni mtumishi wa IKULU..kilichotokea pale ni Mhe Rais alikuwa na furaha sana na alitaka kuwashirikisha furaha yake watu wengine na watu pekee waliokuwepo pale ni wale wasaidizi wa jikoni. Kiutaratibu watumishi hasa wa serikali hata kama bosi wako hupaswi kupeana nae pongezi ile ya kugongeana au kupeana tano au kushangilia kwa kujisahau.
Hivyo basi yule mtumishi alikuwa anakimbia ili hilo la kugongeana na bosi lisitokee, ni masuala tu ya Kiitifaki hayo.
Waambie hao Janet.Watu bwana yani wanazani rais akiwa nyumbani na familia basi anakua analeta urais hadi home ha ha ha ha haiko hivyo wakuu sometime unaweza kukuta kapiga pensi anacheza na wajukuu kama watu wengine
Watu bwana yani wanazani rais akiwa nyumbani na familia basi anakua analeta urais hadi home ha ha ha ha haiko hivyo wakuu sometime unaweza kukuta kapiga pensi anacheza na wajukuu kama watu wengine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yule ni mkewe na pale walikua wanataniana
Rais wetu ni mtu social sana,tuonesheni video ya tundu lissu akilewa anavyomkandika migumi mkewe mpaka majirani wanakuja kuamulia