Yule ambaye hamkuoana japo mlipendana. Ukimkumbuka unafanyaje?

Yule ambaye hamkuoana japo mlipendana. Ukimkumbuka unafanyaje?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Baadhi yetu tuna kumbukumbu fulani za mpenzi yule ambaye unajuta hadi mtondogoo kwanini hamkuoana. Mlipendana, mlipeana, mliliwazana, mliinuana hadi familia ziliweka alama za tiki. Kila mtu mtaani alijua nyinyi ni wenza.

Mara puu!! Hamkufunga ndoa si kwa kuachana au kugombana yaani hadi kesho mnashindwa kuhalalisha kwanini hamkuzaa hata katoto ka mfano!

Mlivyo na wazimu wa mapenzi mmekutana ukubwani na wengine na ndoa zenu lakini mnakumbushiana. Kuna wengine wamefikia hatua ya kuacha ndoa zao na kulirejesha libeneke.

Unamkumbuka yupi na kwanini hamkuishia kufunga ndoa na kuishi na majuto...
 
Mimi Nina wangu tulipokuwa kidato cha tatu tulipendana saaana, it was true love lakin maisha yalitutemganisha kila MTU akaangukia nyambiz lake,

Ila in our soul, nothing will separate us...

Ni vile yeye aliye juu anaepusha tusionane maaana....
 
Back
Top Bottom