Yule ambaye hamkuoana japo mlipendana. Ukimkumbuka unafanyaje?

Yule ambaye hamkuoana japo mlipendana. Ukimkumbuka unafanyaje?

Mimi Nina wangu tulipokuwa kidato cha tatu tulipendana saaana, it was true love lakin maisha yalitutemganisha kila MTU akaangukia nyambiz lake,

Ila in our soul, nothing will separate us...

Ni vile yeye aliye juu anaepusha tusionane maaana....
Ngoja itokee mkutane msibani mahali fulani...
 
Baadhi yetu tuna kumbukumbu fulani za mpenzi yule ambaye unajuta hadi mtondogoo kwanini hamkuoana. Mlipendana, mlipeana, mliliwazana, mliinuana hadi familia ziliweka alama za tiki. Kila mtu mtaani alijua nyinyi ni wenza.

Mara puu!! Hamkufunga ndoa si kwa kuachana au kugombana yaani hadi kesho mnashindwa kuhalalisha kwanini hamkuzaa hata katoto ka mfano!

Mlivyo na wazimu wa mapenzi mmekutana ukubwani na wengine na ndoa zenu lakini mnakumbushiana. Kuna wengine wamefikia hatua ya kuacha ndoa zao na kulirejesha libeneke.

Unamkumbuka yupi na kwanini hamkuishia kufunga ndoa na kuishi na majuto...
Ole wake Swalhina nikutane naye, sitajali cha mme au gudume, lazima nipashe!! Dini ilituharibia dili!
 
Sema umempuuza coz una maisha yako sio kumsahau. Maybe useme hujawah fall seriously
Nasahau haraka sana kuhusu mtu anaeitwa ex najitahidi kukeep penzi ila nikiona hakusomeki najiengua na sirudi, uzuri wangu ninao uwezo wa kupenda tena na tena km ndo naanza mahusiano
 
Umefanya nimpigie baada ya kuona huu uzi. Good thing ni kwamba bado hajaolewa 😷
 
Back
Top Bottom