amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 1,834
- 4,161
Kuna yule ulifall mpaka ukasema hapa sawa then mkaachana iyo kawaida sanaNasahau haraka sana kuhusu mtu anaeitwa ex najitahidi kukeep penzi ila nikiona hakusomeki najiengua na sirudi, uzuri wangu ninao uwezo wa kupenda tena na tena km ndo naanza mahusiano