Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #21
Umesahau ule wimbo wa wahenga...."kitu mapenzi kilianza zamani eeh..."Mzee Mwanakijiji hoja za kisiasa zimekuishia? Sijaamini kuona ukiandika kuhusiana na mapenzi.
Anyways, mi niliyekuwa najuta kuachana naye ndio niko naye sasa hivi so no regrets.
Ngoja itokee mkutane msibani mahali fulani...Mimi Nina wangu tulipokuwa kidato cha tatu tulipendana saaana, it was true love lakin maisha yalitutemganisha kila MTU akaangukia nyambiz lake,
Ila in our soul, nothing will separate us...
Ni vile yeye aliye juu anaepusha tusionane maaana....
Ikitokea tumekutana lazima tupige story mbili tatu kukumbushana zile bakora za form threeNgoja itokee mkutane msibani mahali fulani...
😂😂😂😂Vingine vimechacha ni vya kumwaga jalalani hata mbwa koko hali
Alidanja? Pole sana!Nashukuru hayupo aisee maana naonaga ni upungufu wa akili kurudiana na ex
Kuna watu sio wa kuwaamini kabisa unaanzaje kumsahau mtu aliyekutoa bikra dadaHajawahi kuwepo wala hatokuja kuwepo wa mimi kuachana nae halafu nianze kumkumbuka kwa mahaba
Ole wake Swalhina nikutane naye, sitajali cha mme au gudume, lazima nipashe!! Dini ilituharibia dili!Baadhi yetu tuna kumbukumbu fulani za mpenzi yule ambaye unajuta hadi mtondogoo kwanini hamkuoana. Mlipendana, mlipeana, mliliwazana, mliinuana hadi familia ziliweka alama za tiki. Kila mtu mtaani alijua nyinyi ni wenza.
Mara puu!! Hamkufunga ndoa si kwa kuachana au kugombana yaani hadi kesho mnashindwa kuhalalisha kwanini hamkuzaa hata katoto ka mfano!
Mlivyo na wazimu wa mapenzi mmekutana ukubwani na wengine na ndoa zenu lakini mnakumbushiana. Kuna wengine wamefikia hatua ya kuacha ndoa zao na kulirejesha libeneke.
Unamkumbuka yupi na kwanini hamkuishia kufunga ndoa na kuishi na majuto...
Pole!Kuna watu sio wa kuwaamini kabisa unaanzaje kumsahau mtu aliyekutoa bikra dada
Moja ya sababu kubwa za watu kushindwa kuoana...Ole wake Swalhina nikutane naye, sitajali cha mme au gudume, lazima nipashe!! Dini ilituharibia dili!
Tiririka...Da unanikumbusha mbali
Tumia "an" kwa maneno ya vitu yanayoanza na vowels A, E I, O and U..au yenye sauti yake. Kwa mfano an apple, an event, an evening au an hour.Its an history nothing more
Si mtu wa kujali kuhusu exAlidanja? Pole sana!
🤣🤣🤣PatriciaaAaaaaa wee lazima tupashe kiporo
Angelaaaaa wee mtamu jamani na hayo matiti yako mie hoi kila tukionana
Rebeccaaaaa aise wee unajua kunipa rahaaaaa
Sema umempuuza coz una maisha yako sio kumsahau. Maybe useme hujawah fall seriouslySi mtu wa kujali kuhusu ex
Nasahau haraka sana kuhusu mtu anaeitwa ex najitahidi kukeep penzi ila nikiona hakusomeki najiengua na sirudi, uzuri wangu ninao uwezo wa kupenda tena na tena km ndo naanza mahusianoSema umempuuza coz una maisha yako sio kumsahau. Maybe useme hujawah fall seriously
Cc. The boldMzee Mwanakijiji hoja za kisiasa zimekuishia? Sijaamini kuona ukiandika kuhusiana na mapenzi.
Anyways, mi niliyekuwa najuta kuachana naye ndio niko naye sasa hivi so no regrets.