Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

Sharti la kutokuvaa viatu vya kifunika, ningeweza, mie mvivu mnoo wa kuvaa viatu vya kufunika kwangu ni mtihani
 
Kwenye kutokuvaa viatu vya kufunika ningeweza, ndo hivyo tena kesha dead
Asingekupa hilo hauchagui wewe yeye ndio anachagua na anakupa gumu ambalo anajua tu lazima uvunje, wewe angekupa la kunya machakani huko hakuna kunya chooni hata choo cha stand marufuku ukibanwa na tumbo la kuhara tafuta Chaka ujimalize ole wako uingie chooni 🤪
 
Sharti la kutokuvaa viatu vya kifunika, ningeweza, mie mvivu mnoo wa kuvaa viatu vya kufunika kwangu ni mtihani
Na yeye anajua hilo kwa hio asingekupa sharti jepesi hivyo, angekupa la kunya machakani huko hata ukijenga jumba la kifahari basi nje Jenga na kichaka Cha kujisaidia ukibanwa na Mavi
 
Hilo sharti la kichakani imagine umebanwa kijitonyama au sinza mpaka ukute kichaka ushaharibu mambo😂😂
😆😆😆🤪

Watu wanapewa masharti magumu hilo Cha mtoto, unaambiwa chumba chako kisiwe na kitu chochote hata godoro na uwe unalala sakafuni bila nguo kila siku yaan uwe unalala sakafuni uchi ndio utajiri unaongezeka, wengine wanaambiwa wawe wanalala Chooni yaan mtu ana jumba lina vyumba kibao Ila masharti ya mganga awe analala chooni asithubutu kulala chumbani hata siku moja, haya Mambo ya utajiri yana Siri nyingi sana yaan una bonge jumba alafu unalala Chooni 🤪
 
Hilo sharti la kichakani imagine umebanwa kijitonyama au sinza mpaka ukute kichaka ushaharibu mambo[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inabidi ukaishi kijijini labda.


Shetani ni mjinga sana.
 
Ila imani hizi.

Hivyo hicho kipengele cha mwisho inabidi na utajiri wote anaopatiwa mtu kama ni eneo analoishi basi mtu atengeneze kakichaka spesho kwa kazi hiyo ili asiende nje ya masharti. [emoji1787]
Siku ukilazwa hosp kwa kuhara sijui inakuwaje hapo
 
N
Na yeye anajua hilo kwa hio asingekupa sharti jepesi hivyo, angekupa la kunya machakani huko hata ukijenga jumba la kifahari basi nje Jenga na kichaka Cha kujisaidia ukibanwa na Mavi
Nami ndio maama sijaenda huko. 😂
 
""Unye kichakani tu.""
Hili sharti limejaa sanaa Tunduma.
Vijana wanahelaaa ila hawajisaidiii chooni.

#YNWA
 
Asingekupa hilo wewe ungepewa la kunya vichakani,
Acha dharau jomba wewe angekupa la kuishi chooni kwa sababu huu unene wako hutokosa kunya ovyo . Halafu asingekuruhusu kuvaa viatu vyakufunika
 
Acha dharau jomba wewe angekupa la kuishi chooni kwa sababu huu unene wako hutokosa kunya ovyo . Halafu asingekuruhusu kuvaa viatu vyakufunika
Umesema kuishi Chooni? Kwanini nisivae viatu vya kufunika?
 
Back
Top Bottom