Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

Wewe zalisha wanawake pata watoto Ila sharti kuu usioe na usiishi na Mwanamke kinyumba ukishamtia mimba akishazaa tu mtimue akatafute mwanaume mwingine wa kuendeleza ulipoishia na usirudiane nae
Noma sana!
 
Vipi mkuu wewe hujawahi kuonana naye ili shughuli zako za Kariakoo ziende kama ulivyopanga?.
Na ndomana anazidi kuwa bilionea siku hizi... Jezi zote anatengeneza yeye, hapana Chezea Uganga wewe! 😂

SANDALAND THE ONLY ONE HUYO!
 
Asingekupa hilo hauchagui wewe yeye ndio anachagua na anakupa gumu ambalo anajua tu lazima uvunje, wewe angekupa la kunya machakani huko hakuna kunya chooni hata choo cha stand marufuku ukibanwa na tumbo la kuhara tafuta Chaka ujimalize ole wako uingie chooni 🤪
Loh, staki
 
AISEE MASHARTI MAZURI SANA HAYO.

NINGEMJUA MAPEMA SASA HIVI NINGEKUWA NA MABASI YANGU YA MIKOANI NA NIINGEYAITAA

NSHOMILE TRAVEL CO.LTD

DAR-BUK, DAR-KAMPALA,DAR-KIGALI, DAR-LUSAKA,DAR-HARARE, DAR-GABORONE

NAJUA HAPO HILO SHARTI LA KUTOMSALIMIA MTU KWA MKONO NI JEPESI NINGELIWEZA TU.

MBINGU NA PEPO NI HAPAHAPA DUNIANI
Hilo gumu sanaaa,
Utakutana na waziri siku akupe mkono lazima utarudisha,
Hapo simple ni la kuvaa viatu, na hilo la kuwa na dem mmoja, hayo easy tu yanawezekana
 
Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.

Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji. Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.

Utachaguliwa sharti moja, either
  • Ugonge mwanamke mmoja tu.
  • Usilale kwenye nyumba yenye umeme
  • Usinunue gari ya kutembelea, jaza milori, tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
  • Usivae viatu vya kufunika
  • Usivae suruali ndefu.
  • Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
  • Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
  • Unye kichakani tu.
N.k, n.k
Mangi mmoja alikwenda, sharti la Kwanza kabisa akakosea.
Akapewa la pili akawin ndani ya mwaka mmoja kavunja.

Sasa hivi kawa bodaboda kutoka kuwa star mjini mwenge yote alijulikana. Akina Wema, Wolper, and so kawapitia sana.

Aliaambiwa afanye sex na mwanamke mmoja tu. Mipesa ilivyozidi akaona isiwe shida akaanza kutumia na watoto wazuri
Hilo la kugonga mwanamke mmoja tu Lina shida gani?
 
Nani mwingine aliyeko huko ambaye ni bingwa?,Nataka mwenye sifa kama za huyo bi njimwite au zaidi.
 
Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.

Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji. Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.

Utachaguliwa sharti moja, either
  • Ugonge mwanamke mmoja tu.
  • Usilale kwenye nyumba yenye umeme
  • Usinunue gari ya kutembelea, jaza milori, tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
  • Usivae viatu vya kufunika
  • Usivae suruali ndefu.
  • Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
  • Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
  • Unye kichakani tu.
N.k, n.k
Mangi mmoja alikwenda, sharti la Kwanza kabisa akakosea.
Akapewa la pili akawin ndani ya mwaka mmoja kavunja.

Sasa hivi kawa bodaboda kutoka kuwa star mjini mwenge yote alijulikana. Akina Wema, Wolper, and so kawapitia sana.

Aliaambiwa afanye sex na mwanamke mmoja tu. Mipesa ilivyozidi akaona isiwe shida akaanza kutumia na watoto wazuri
Kwanini hamkututangazia mapema na sisi Sasa hivi tungekuwa mapedeshee wa mjini,mnaroho mbaya sana mnapenda tuwe masikini sisi muendelee kufurahi
 
Back
Top Bottom