Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
Kwa experience ya rafiki zangu, miaka ya 2000 machangu wa Mwananyamala walikuwa wanaadai sh.500 za Tanzania. Haikuwa hiyo
Watu kwa kujitoa tu hawajambo.
Hata kama utasema kwa experience yako mwenyewe hakuna shida mkuu, hii kitu mbona ya kawaida sana! lol