Yule demu wa Ali Kiba wa Mwanza naye adai kapata mimba

Unahitaji muda kweli kujua kwamba huyo manzi anampakazia mshkaji... Swali fikirishi.. HIZI PICHA ZIMEPIGWA NA MTU TOFAUTI NA HUYO KIBA NA DEMU.. je huyo mpiga picha alikuwa wapi?? Sijaona picha yoyote inayothibitisha kuwa KIBA kaweka hapo kwa manzi... Aachie picha kama zile za mobetto...
 
Haya ni matumizi mabaya ya ustaaa, demu gani huyo! Hata mzee kigogo mnyama kamshinda
 
Si kweli..ametoa clip inazagaa huko insta akisema amefungua kesi..ila demu ana pua huyu kama mfupa wa kongoro..ingia kwa shishi boy yule anae tukana ukamuone!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] eti pua km mfupa wa kongoro
 
Mbaya kwako jamani kwake ni mzuri mwacheni achague anaye mtaka mwenyewe kila mtu na test yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…