King kafanya yake kwa mtt wa kisukuma sema dem kakoma kinoma
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
King kafanya yake kwa mtt wa kisukuma sema dem kakoma kinoma
Sasa huo uking vip wakat madem wenyew anao milik bado wanapishana uswahilin kha
aitwe mara pahhhhhaaaaap, au tumekusoma!huyo mtoto aitwe fiesta
Hicho ndicho tunakipenda wanaumeLulu ana kisura cha kitoto
OukeyHicho ndicho tunakipenda wanaume
Anaonekana Ana msambwanda hatari
Ova
Na nyie ' Wasanii ' wa Kibongo muwe mnaangalia na ' Mademu ' wa kuwa na kuzaa nao. Nadhani katika ' Mademu ' wote ambao nimewahi kuambiwa / kusikia kwamba wametoka au wanatoka ' Kimahusiano / Kibaiolojia / Kingono ' na Ali Kiba huyu anayeonekana ' pichani ' ni mbaya kuliko wote. Mimi pamoja na Umasikini / Ukapuku / Ungarambe wangu huu lakini sichukui ' Mademu ' wabaya na wenye ' Sura ' mbaya kama huyo aliyepewa Mimba na Kiba. Kumbe ndiyo maana Diamond yupo juu kwani hata ' Mademu ' zake wote ' anaowangono ' ni Wazuri na hadi sasa sijawahi kuona ' Demu ' yoyote wa Diamond aliye na ' Sura ' mbaya kama huyo hapo juu pichani.