Yule demu wa Ali Kiba wa Mwanza naye adai kapata mimba

Yule demu wa Ali Kiba wa Mwanza naye adai kapata mimba

Mimi kwa huyu demu nachoshangaa ni kitu kimoja tu,
Sijawahi kum-follow insta na wala simjui lakini nimeshangaa kua eti nami ni among followers wake,
Nimewaza hata pengine Kuna account ingine ya mtu mwengine nilii-follow then akaja kuibadili
 
Na nyie ' Wasanii ' wa Kibongo muwe mnaangalia na ' Mademu ' wa kuwa na kuzaa nao. Nadhani katika ' Mademu ' wote ambao nimewahi kuambiwa / kusikia kwamba wametoka au wanatoka ' Kimahusiano / Kibaiolojia / Kingono ' na Ali Kiba huyu anayeonekana ' pichani ' ni mbaya kuliko wote. Mimi pamoja na Umasikini / Ukapuku / Ungarambe wangu huu lakini sichukui ' Mademu ' wabaya na wenye ' Sura ' mbaya kama huyo aliyepewa Mimba na Kiba. Kumbe ndiyo maana Diamond yupo juu kwani hata ' Mademu ' zake wote ' anaowangono ' ni Wazuri na hadi sasa sijawahi kuona ' Demu ' yoyote wa Diamond aliye na ' Sura ' mbaya kama huyo hapo juu pichani.

Uyu anaonesha kajaaliwa uko nyuma, sura haina shida.
 
Si kwa dem huyo dah! Bora nikale makombo ya King Mswati[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Back
Top Bottom