Yule jamaa wa "laifu izi chenjee mwanangu somaaa" ameishia wapi? Alishakaga kasi zaidi maeneo ya vijijini haswa vya ya Kanda ya ziwa

ama kweli sikuamini nilivyomkuta mariam wa dar ,amebadilika kabisa hata umbo lake zuri la mvuto limeshapotea ,life is chenjeeeeeeee πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Hakika
 
Leo ametoa wimbo unaitwa Mkuu wa Polisi..wiki mbili zilizopita alitoa wimbo unaitwa P Didy
 
ama kweli sikuamini nilivyomkuta mariam wa dar ,amebadilika kabisa hata umbo lake zuri la mvuto limeshapotea ,life is chenjeeeeeeee πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Imebidi nikaisikileze tena, nikisikia hiyo life iz chenjeee nacheka sana... jamaa alikuwa anaishi kwenye ulimwengu wake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…