Yule jamaa wa "laifu izi chenjee mwanangu somaaa" ameishia wapi? Alishakaga kasi zaidi maeneo ya vijijini haswa vya ya Kanda ya ziwa

Yule jamaa wa "laifu izi chenjee mwanangu somaaa" ameishia wapi? Alishakaga kasi zaidi maeneo ya vijijini haswa vya ya Kanda ya ziwa

Ana nyimbo Kali sema sijui kwanini aliamua kuishi huko mikoani?
 
Huyu jamaa ana nyota fisi maji, anatoa ngoma lakani wanasikiliza wale wasio na uwezo wa kuibrand.
 
Back
Top Bottom