Yule Mama akaniambia; umekosea kuwahi kuoa. Je, yuko sahihi?

Kuoa chini ya miaka 33-35 ni ufala,


Sio mara zote ukishinda argument basi you are right, kuna vitu huwez kuvi-prove wrong mpaka vikutokee...ndio maana ya experience, sasa oa saivi then subiri ufike 33- 35 ndio utajua huyo mama alikua sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Huo ni mtazamo wako Boss.

Wengine kuoa Kwa umri huo ulioutaja pia ni ufala.

Na waliooa mapema wako poah zaidi kuliko waliochelewa.

Ukichelewa kuoa basi uwe umetoboa maisha walau maisha yasikubabaishe.
Lakini kama huna hili wala lile na ukachelewa kuoa jua umekwisha. Malezi lazima yakushinde.

Hata wanawake wenyewe hawawezi kukubali kuolewa na mtu mwenye umri 35 huko alafu Hana mbele wala nyuma. Anaishi chumba kimoja na vitu vya kijana anayeanza maisha akiwa na miaka 20.

Kama maisha yako yapo poah basi oa hata ukiwa na 40 lakini kama ndio Wale kipato hakifika hata 500k Kwa mwezi usithubutu
 
Mama yuko sahihi, maana ndoa zina mikiki mingi, na wengi walioa kwenye ndoa wanaumia kimya kimya na ulioko nje hauwezi kujua..na vijana wengi wanapoteza furaha muda mfupi baada ya kuoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…