Yule mama wa udongo alipotelea wapi wakuu?

Yule mama wa udongo alipotelea wapi wakuu?

Tena si kumpaisha tu, kwa sasa nimewekeza kwenye mradi wake mpya, msome hapa: Fursa ya kuwekeza kwa msingi mdogo
Si mshawageuza watanzania Bibi zenu,njooni na hizo project za kipigaji Tu.ila Mungu anawaona
 
Ule udongo wa aunt Zainab au Zainab Tamim ni udongo mzuri niliwahi kuutumia ingawa ngozi yangu haikuwa na tatizo ila unafanya ngozi inakuwa nyororo saana...tena ni muda toka umeisha ngoja niutafute....
 
Namba za mawakala hazipatikani, meseji hazijibiwi, au ndio alikusanya mikwanja akasepa na kijiji.

Tupeane ushuhuda wakuu, kama kuna yeyote aliyetumia udongo na ukamsaidia alete ushuhuda hapa, au kama mama mwenyewe yupo basi jitokeze.
Sijui hata kapotelea wapi yule bibie na matangazo yake
 
Alikusanya mikwanja akasepa km Lowizeeeee


Dah!

Hapana si kweli. Kama kuna yoyote hajaridhika na product yetu mbona ni "money back guaranteed".

Sasa hivi udongo wetu unajiuza wenyewe na tupo kwenye miradi mingine na kila nipatapo fursa huwa ninaingia humu kujibu hoja.
 
Back
Top Bottom