Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 583
Bora umejileta mwenyewe..
Udongo Wako haujasaidia watu,mawakala hawapo tena,mesej hawajibu,cm awapokei.
Nini shida..
Kama haujakusaidia unaweza kuja kuchukuwa pesa zako. Usiwe na shaka ni money back guaranteed.
Kuhusu mawakala, wengi wao niliwapatia hapahapa JF kama hawapatikani si tatizo, kuna wengine kama unahitaji nijulishe uko wapi nikupe namba zao.