Yule mdada aliyekuwa anauza Uji kwa sasa Mambo yamebadilika soon atawaajiri

 
Ni swali zuri sana umeuliza mkuu yajutu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwako lile ndo swali la maana sana? ujue wazungu huwa mapaka leo na kesho huwa wanaamini wa africa kuna nati zimelegea kwenye ubongo.

Una uliza kama kauza uji ndo kapata pesa za hoteli ili mpate point ya kisingizio?

Make hatukosi visingizio mara pesa ya urithi amara mwizi yule mara Freemason mara sijui anauza Unga yaani ilimuradi tu mtu apate ngao ya kuhalalisha kukaa nyumbani.

Kila mtu ana malengo yake na kila mtu ananjia yake ya kufika juu. wewe una shangaa mwenzako anapiga pesa, wakati mnajifariji kwamba hajauza uji akafika hapo alipo yeye atakuwa mbali wakati huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nlidhani kupitia uji ameweka akiba mpaka ameweza kufungua hotel. Sasa ni wangapi ambao wataweza Kupata ufadhili kama alioupata yeye. Kwa mtazamo wangu Hayo mafanikio atakayoyapata hayajatokana na biashara yake ya uji. Ndio
 
Mkuu nahisi umeajiriwa hujajiajiri ndio maana unaongea hivyo.
Inabidi ufikirie kwa kina sana sio jujuu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haitoshi kwa Hotel upande upi? Kujenga Hotel, au kupanga Apartment ambayo ukaigeuza kuwa Hotel!?
 
Mi nlidhani kupitia uji ameweka akiba mpaka ameweza kufungua hotel. Sasa ni wangapi ambao wataweza Kupata ufadhili kama alioupata yeye. Kwa mtazamo wangu Hayo mafanikio atakayoyapata hayajatokana na biashara yake ya uji. Ndio
Naunga hoja yako mkuu, ukifikiria tangua aanze kuuza uji haipita miaka 2 eti Leo unatuambia kua anampango wa kufungua hotel.mkuu elezea vzuri labda sijakuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milioni 50 haitoshi sio? Ni kweli kabisa mkuu kwa sababu hapa ndo Mwisho wa kuwaza kwako. Ogopa dana pale kuwaza kunapo fikia tamati yaani unabakia mwili tu unao kula.
Nyie ndo mnajifanya mnajua wakati ukweli hakuna kitu. Nisha wahi kusema hizi ID huwa zinaficha siri nyingi na ingekuwa tunatumia majina halisi watu wasingekuwa hata wana thubutu ku coment.

Endelea kuamini haitoshi na si kosa lako ila ni kwa sababu ndo mwisho wa kuwaza kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nahisi umeajiriwa hujajiajiri ndio maana unaongea hivyo.
Inabidi ufikirie kwa kina sana sio jujuu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha angalia Avator yangu na jina langu na ni verfied, wewe njoo kwa majija yako kamili. Mimi humu kuna watu wengi wananijua kwa kuonana na si kwa jina.

Wewe hakuna anaye kujua kama kwanza ni Ke au me na kama ni nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifikiri uji umezaa mil 50.


Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maana ya malengo? Unajua moja ya sifa za Mjasiriamali?

Kwani ukisikia Mengi alianza na kutengeneza kalamu unazani basi alitumia huzo pesa pekee?

Hakuna kukopa? wenye maduka Kariakoo hawana mikopo? au unazania wanaendesha biashara tu kwa mitaji yao binafisi?

Shida zenu ni kwamba mnatafuta sababu ya kuahalalisha. Endeleeni kuwa hivyo make bila watu wa aina yako matajiri wasingekuwepo

Mnapaswa watu wa type yako muwe wengi sana na nafurahi kwa sababu naona mko wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…