Unajua tatizo linalo wakabili? Most of Wanaume na wanawake wapika vitumbua na Mihogo na Uji na wakaanga karanga wanakosa Vision si kwamba hawapati pesa. Unaweza kuwa na pesa nyingi sana ila ukawa huna Vision
Usiwa rate kwa kuangalia Uvaaji wao. Hahaaa ile ni njia yao tu ya ku ji under rate ili wandane na jamii
Kuna jamaa ni M brash viatu ana kona nzuri anayo brashia viatu. Ukifika kwake utazimia mimi sikuamini alivyo nipelela kwake na tangia hapo hawa watu huwa si wa under rate kabisa.
Usiangalie wanavyo vaa au walivyo wengi wao wana miliki hadi Daladala kwa kuchoma mihogo ika hata siku moja hutasikia wanazunguzmia Daladala zao na wengi wana mageto na wanasomesha watoto vyuo vikuu kwa kukaanga mihogo.
Mihogo tu mtoto yuko chuo kikuu.
Sent using
Jamii Forums mobile app