Yule mdada aliyekuwa anauza Uji kwa sasa Mambo yamebadilika soon atawaajiri

Hakuna sehemu yeyote nimetaja kuajiriwa wala suti hapa...shida yako umepanic. Mimi sijamdharau mtu yeyote, nakukumbusha tu relative income. Usijitie ujinga kana kwamba hunielewi eti kwa kuwa tu nimepingana na mawazo yako.

Kuna kiasi cha ukwasi ambacho kinaelezeka kwa shughuli fulani, kinyume na hapo kuna maswali.
 
Hata kama huoni na harufu husikii unataka kusema uji umezaa 50M?,usikosoe wenzio ongea na wewe tuone uwezo wako wa kufikiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahsante kwa insipiration.....tuletee story nyingine
 
Nisha mpotezea uwezo mdogo ila anajifanya anajua kumbe hajui. Hizi ID huwa zinasaidia sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajinga kama nyie nazani nikupoteza muda kuwajibu.
Nadhani sio NAZANI.

Kudhani maana yake, huna hakika. Inaonekana DHAHANIA ina nafasi kubwa sana kwako, ndio maana unachukia kusikia watu wengine hawaamini haraka haraka. Mi nafikiri urudi tena huko mbeleni uji ukishaanza kuuzwa kwa scale ya 50m.
 
Mkuu kwani we umefikiria nini?
Msichana mzuri na msafi watu watapenda kwenda pale, sio kwa kufanya hayo unayofikiria mkuu.
 
Mtoa mada, ujumbe umeeleweka kwa wajasiriamali. Inawezekana kwa mtu mwenye maamuzi kufanya makubwa. Mimi ninavyojua ujasiriamali=ubunifu. So kilichosababisha huyo graduate akapata hiyo 50m ni wazo lililopo ktk hiyo business plan yake, pamoja na juhudi alizonazo ktk biashara yake ya sasa, ndicho kimefanya huyo ampe hiyo fedha( Na sio fedha ya kupewa bure, hiyo ni fedha ambayo faida itakayopatikana watagawana)

Hapa ninapoishi kuna mama mjane anachoma mahindi, alinipa story ya maisha yake, baada ya kufiwa na mumewe, hayo mahindi yamesomesha watoto wake wawili wkt ananipa story mtoto wake wa kwanza alikuwa mwaka wa tatu chuo kikuu. Na pia anakaa kwenye nyumba aliyojenga mwenyewe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona iko wazi? wacha tuendelee kunyiga tai na kwenda kusubikua laki 4 kwa mwezi then tunajiona wajanja.

Wale watu wanaingiza pesa. sasa muonekano wao sisi tunaona hawana kitu ila pesa anayo ingiza kwa mwezi ni kubwa sana.

Mimi najua kabisa nimeongea na wengi wanapata pesa nyingi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera zake aisee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…