Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Kwanza kabla hata sijasahau, hivi huyu msanii wa insta ameshamaliza kukarabati choo huko kijijini kwao? Maana kanavyojifanya kujitunisha hapa mjini wakati kujenga tu choo cha kisasa ameshindwa.
Halafu na yule baba yake shehe mzima wa madrasa lakini alikuwa anamuunga mkono ushirikina alikuwa anaufanya mwanae mchana kweupe bila aibu [emoji23][emoji23][emoji23]nyie umaskini huu unapelekesha watu.
Halafu kwanza zile gari alizojifanya amewanunulia wazazi mbona hatujawahi kuziona zikiendeshwa na wazazi wake au zilikuwa kiki tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama sio kiki basi walishindwa kuzimudu wakaona waziuze ili mradi pesa itimie walipe gharama ya kuvunja mkataba.
Halafu sijui kwa nini huyu msanii wa insta kila jambo analolifanya lazima lifeli tu mwisho wa siku anaambulia aibu
Miongoni mwa vitu alivyofeli mpaka sasa ni hivi.
1) Mgahawa ameshindwa kutimiza ahadi
2) Aliahidi kugawa nguo ,ameshindwa kutimiza ahadi.
3) Aliahidi kutatua tatizo la dawa huko kijijini kwao ameshindwa kutimiza ahadi.
4) Amejikomba kwa Magufuli. Magufuli kampima mwisho wa siku akamtosa ndio maana Magufuli akapiga simu ya pongezi kwa Platnumz badala ya kupigiwa yeye mzee wa kujikomba.
5) Amefosi bifu mserereko WCB, WCB wamemkwepa mwisho wa siku ameishia kurusha vijembe tu kila kukicha.
6) Ameahidi kufungua radio station yake mwezi March [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii ni ndoto ya Alinacha, mtu gharama ya kukarabati choo tu imempelekesha ndo ataweza kufungua radio stations [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dogo atazidi kupotea kila kukicha.
Halafu na yule baba yake shehe mzima wa madrasa lakini alikuwa anamuunga mkono ushirikina alikuwa anaufanya mwanae mchana kweupe bila aibu [emoji23][emoji23][emoji23]nyie umaskini huu unapelekesha watu.
Halafu kwanza zile gari alizojifanya amewanunulia wazazi mbona hatujawahi kuziona zikiendeshwa na wazazi wake au zilikuwa kiki tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama sio kiki basi walishindwa kuzimudu wakaona waziuze ili mradi pesa itimie walipe gharama ya kuvunja mkataba.
Halafu sijui kwa nini huyu msanii wa insta kila jambo analolifanya lazima lifeli tu mwisho wa siku anaambulia aibu
Miongoni mwa vitu alivyofeli mpaka sasa ni hivi.
1) Mgahawa ameshindwa kutimiza ahadi
2) Aliahidi kugawa nguo ,ameshindwa kutimiza ahadi.
3) Aliahidi kutatua tatizo la dawa huko kijijini kwao ameshindwa kutimiza ahadi.
4) Amejikomba kwa Magufuli. Magufuli kampima mwisho wa siku akamtosa ndio maana Magufuli akapiga simu ya pongezi kwa Platnumz badala ya kupigiwa yeye mzee wa kujikomba.
5) Amefosi bifu mserereko WCB, WCB wamemkwepa mwisho wa siku ameishia kurusha vijembe tu kila kukicha.
6) Ameahidi kufungua radio station yake mwezi March [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii ni ndoto ya Alinacha, mtu gharama ya kukarabati choo tu imempelekesha ndo ataweza kufungua radio stations [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dogo atazidi kupotea kila kukicha.