Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
MTU wangu na wewe simu ukiyafuma usinisahauUmegundua nini wewe mkuu!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MTU wangu na wewe simu ukiyafuma usinisahauUmegundua nini wewe mkuu!?
Hhaahhahhahaahajaa.....hahhahaa....mbona kuyafuma!MTU wangu na wewe simu ukiyafuma usinisahau
Nadhan Kama ndama wa miez 8Huyo mbuzi anayeuzwa 150,000/= analinganaje?
Hajawahi kuhudumia mgodi,mawe ya kwanza alikua anahudumia mchina ndio alikata shaft ya huo mgodi na kutoa mawe,aliehudumia kipindi hiki ni kijana anaitwa kaka ndio kasababisha hiyo mawe.Ukimsikiliza vizuri, alikuwa anauza ngombe kugharamia gharama za kuchimba. Kwa bado kwangu ana sababu ya kufuga anavofuga.
Ngombe kwake ni kama working capital
Tell them tanzaniansHajawahi kuhudumia mgodi,mawe ya kwanza alikua anahudumia mchina ndio alikata shaft ya huo mgodi na kutoa mawe,aliehudumia kipindi hiki ni kijana anaitwa kaka ndio kasababisha hiyo mawe.
Kwahiyo huo mgao kuna watu watatu wanagawana
Kuna shida kwani? Kuna siku ipo inakuja ambayo hata hiyo US dollar ita collapse tu, nothing last foreverKama ndo hivyo Basi Zimbabwe nchi nzima ni Mabilionea
Najua unapiga hizo biznengaHhaahhahhahaahajaa.....hahhahaa....mbona kuyafuma!
Sio tanzanite boss..mie Niko kwa 'ng'ana'!Najua unapiga hizo biznenga
Inategemea unauzia wapi?
Hapa Dar mbuzi tunanunua mpaka 200,000
Kwa hiyo wengine ni Maalfuonea...definition ya billionare ni kumiliki kuanzia 1 billion dollar na kuendelea huyu bado ni millionare...
Wewe ulinunua Vimbuzi vya Vingunguti.. Huyu anazungumzia Mbuzi au Mijimbuzi...Mbu
Mbuzi wa 150,000/= hapana mimi mwezi uliopita nimechinja mbuzi kumshukuru Mungu nimesunguka duniani nimerudi zero ila mbuzi nilinunua 70 na walikuwa watatu so I gave 200k acha over estimation.
Uko na connection ya MTU wa Kenya boss maana hio bei tamu sanaBeberu mkubwa 250k-270k