Ni kipepeo mzuri tu hyo bwana,na anafanya issue kibao tu za gvmnt na system inamtambua vizuri MNO.
Hapo Ni kwamba kayatimba kwa namna nyingine kwa WAZEE wameamua kumkalia kooni na mwamba kawadindia mpka kufikia hatua ya kumfanyia upekuzi,
Kuna mawili;
Moja yawezekana ikawa Ni MOVIE LEO tunachezeshwa (Bastola haijahusishwa)
ili vitu vingine viendelee, au Kajichanganya akiwa kwenye mission isiyokuwa inataka kuwahusisha WAZEE.
Plus field kumchosha(kuzoeleka).
Sidhani km Kuna mtanzania ataweza ku invest muda wa kufuatilia na kuwa na such evidence alizokutwa nazo.
Hyo Ni Tai,a.k.a kipepeo,mkuda, snitch, eagle,mning'inio,tandu,buibui,nguruwe mweusi,Twiga cement [emoji1787][emoji1787]