Yunus Nassoro Ali, akamatwa kwa kujifanya mtumishi wa Usalama wa Taifa "TISS"

Yunus Nassoro Ali, akamatwa kwa kujifanya mtumishi wa Usalama wa Taifa "TISS"

Ni kipepeo mzuri tu hyo bwana,na anafanya issue kibao tu za gvmnt na system inamtambua vizuri MNO.
Hapo Ni kwamba kayatimba kwa namna nyingine kwa WAZEE wameamua kumkalia kooni na mwamba kawadindia mpka kufikia hatua ya kumfanyia upekuzi,
Kuna mawili;
Moja yawezekana ikawa Ni MOVIE LEO tunachezeshwa (Bastola haijahusishwa)
ili vitu vingine viendelee, au Kajichanganya akiwa kwenye mission isiyokuwa inataka kuwahusisha WAZEE.
Plus field kumchosha(kuzoeleka).
Sidhani km Kuna mtanzania ataweza ku invest muda wa kufuatilia na kuwa na such evidence alizokutwa nazo.
Hyo Ni Tai,a.k.a kipepeo,mkuda, snitch, eagle,mning'inio,tandu,buibui,nguruwe mweusi,Twiga cement [emoji1787][emoji1787]
Mwamba umemaliza kila kitu. Akina sisi huwa tunafanyiwa maigizo. Na hutasikia hiyo kesi itakakoishia.
 
Duuuuuh! huyu jamaa yupo vzr alafu age yake ni ndogo sana miaka 32 [emoji1534]
 
Ndio maana kakutwa na majibu ya Fingerprint pamoja na interogation kit, sasa kama ni tapeli unataka kuniambia hivyo vitu vya nini??

Huyo jamaa ni mwenzao wameamua kumkana tuu.
 
Asanteeeeeeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23].
Huyo ni mtu na nusu.
Na Mimi nimepanga nikinunua gari naweja plate number ya JWTZ
sipendi usumbufu
 
hahahahaha umenichekesha sana, umenikumbusha vijana wa Kiromania pale Bucharest au Sofia Bulgaria.....Nigerians hapo bado chekechea sana..
Mi nawatafuta sana hawa watoto wa Eastern Europe tuje tufanye kweli huku jamhuri ya wazalendo 😬
 
Kwa watoto wa mjini hivyo vitu vya kawaida sana, hata ukitaka mhuri wa nyumba nyeupe na saini ya mwenye nyumba hapo samora unapata chap tu....kifupi hao watu wana ulimwengu wao na serikali zao incopy ya serikali zote zilizopo madarakani duniani...
Mkuu usitoetoe siri kausha mengine. We jiunge tu kushangaa
 
Huyu ni mwenzetu kabisa mtanzania kwa mwonekano tu na document guenuine alizokuwa nazo sema shida sadaka au kunawa mikono
 
"Teeth" ana picha hadi za "BARESA"??? Teeth mwenyewe mbona mwili kama wa Mange au alikuwa hapigi pesa za wajinga?
 
[emoji817]%.napiga hesabu hapa hivyo vitambulisho kavitoa wapi ? Kaiba.?
Bado hesabu zinagoma.
Ni kipepeo mzuri tu hyo bwana,na anafanya issue kibao tu za gvmnt na system inamtambua vizuri MNO.
Hapo Ni kwamba kayatimba kwa namna nyingine kwa WAZEE wameamua kumkalia kooni na mwamba kawadindia mpka kufikia hatua ya kumfanyia upekuzi,
Kuna mawili;
Moja yawezekana ikawa Ni MOVIE LEO tunachezeshwa (Bastola haijahusishwa)
ili vitu vingine viendelee, au Kajichanganya akiwa kwenye mission isiyokuwa inataka kuwahusisha WAZEE.
Plus field kumchosha(kuzoeleka).
Sidhani km Kuna mtanzania ataweza ku invest muda wa kufuatilia na kuwa na such evidence alizokutwa nazo.
Hyo Ni Tai,a.k.a kipepeo,mkuda, snitch, eagle,mning'inio,tandu,buibui,nguruwe mweusi,Twiga cement [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom