Yunus Nassoro Ali, akamatwa kwa kujifanya mtumishi wa Usalama wa Taifa "TISS"

Yunus Nassoro Ali, akamatwa kwa kujifanya mtumishi wa Usalama wa Taifa "TISS"

Uncle una lipi la kusema hapa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Amekuzidi had wee huyu, hebu bisha nikuone. Hahahah
hahahaha.mambo vp anko? Huyo bd ila yuko vzr.anafaa kuongezewa vitu kdg awe master zaidi
 
hahahaha.mambo vp anko? Huyo bd ila yuko vzr.anafaa kuongezewa vitu kdg awe master zaidi
Uncle mie niko poaaah.

Aaaah uncle acha bas wivu. Kwan ukikubali kakuzidi utakosea wapi? Ukute hadi kitambulisho chako anacho yeye huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Chezea Yunus wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu ni kama sabaya, mwisho WA siku akapewa ukuu WA wilaya
 
Uncle mie niko poaaah.

Aaaah uncle acha bas wivu. Kwan ukikubali kakuzidi utakosea wapi? Ukute hadi kitambulisho chako anacho yeye huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Chezea Yunus wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahaha.dah km anacho hadi changu.huyo si mtu mzuri
 
Back
Top Bottom