Yupi anafaa kua mume...Ushauri plz

nakubaliana nawewe
 
asante, actually alimtumia wakati yuko lonely.
Kapata kipozeo ofisini anamtema.

What a shame!
Angemwambia toka mwanzo.

 
tatizo na masters yako bado hujakua.....
Sasa naona umuhimu wa msichana kudate kadri awezavyo ujanani ili yatakapotokea mambo kama haya atajua jinsi ya kuyahandle.......
 
asante, actually alimtumia wakati yuko lonely.
Kapata kipozeo ofisini anamtema.

What a shame!
Angemwambia toka mwanzo.

aibu zaidi ni kuwa hajagundua kuwa huyo kaka wa ofisini anamtumia, loh!!!!!!
 
asante...tatizo lilikuwepo tangu siku ya kwanza. vipi hayo mengine..sinitaonekana sugar mami jamani..kila ninayekutana nae tukiwa wote anadhani ni mdogo wangu
 

Shost mbona ulilonalo sasa ni janga! ila kiukwel huyo kaka wa pil si mtu mzur kwako kwan nahis ana msichana mwingine ampendaye zaida yako ila sasa huyo wa kwanza daa tatizo lake liko ndan zaid mh ,....
 
aibu zaidi ni kuwa hajagundua kuwa huyo kaka wa ofisini anamtumia, loh!!!!!!
asante. huo ni mtazamo tu. ila ukweli sio loneliness bali huruma. worse enough hatuishi mji mmoja kwa hiyo hata upweke hakuweza kuuondoa.
 
Shost mbona ulilonalo sasa ni janga! ila kiukwel huyo kaka wa pil si mtu mzur kwako kwan nahis ana msichana mwingine ampendaye zaida yako ila sasa huyo wa kwanza daa tatizo lake liko ndan zaid mh ,....
asante kwa ushauri Merita
 
asante..nitajaribu. nilichokua nikiwaza ni labda harufu ya mdomo wake sio mbaya ila tu hatuendani. vipi suala la pumzi??? kuhusu mwili deodorant anatumia na inaleta afathali. vipi umri na muonekano wake mdogo kuliko mimi. sifeel comfortable kua nae???
 
Shost mbona ulilonalo sasa ni janga! ila kiukwel huyo kaka wa pil si mtu mzur kwako kwan nahis ana msichana mwingine ampendaye zaida yako ila sasa huyo wa kwanza daa tatizo lake liko ndan zaid mh ,....

huyo wa pili ana mtu tayar ila yeye kajipeleka na anatumika kama kiburudisho. kama alikuwa serious angevuta muda kwa wa kwnz wakafahamian kuliko first date ikawa kitandan, sasa wamuona hana thaman lakin kumbuk we ka wewe hujithamin mwili wako
 
asante sana dada...
 

nijuavyo mimi kabla ya kukubalian na mwanaume kuna vitu lazima utakuwa unavitaman au kuvitaka kwa mwanaume kama muonekano, urefu nk je hvyo hukuviona mwanzo?
 
pingana na asili sasa kama una nia.

Hujawahi sikia watu wanafukuza bahari? Why? Sababu wana nia na eneo la kujenga au kulima.

Tatizo humpendi, ila kwa nini ulimkubali mwanzo? Hukusikia pumzi?
Labda hasafishi pua vizuri je?

Baby face+kubwa face=perfect match

kama kakupenda wewe na kubwa face yako shida iko wapi? Kumbe una mahusiano kwa ajili ya watu watakuonaje?


huyu sio mchafu. ni asili tu
 
angalia ni yupi anaejua nn maana ya future
kwa tabia zako hizo yaonyesha hujawapenda kwa dhati bali umewapenda kwa visababu fulani fulani
upendo haujatoka moyoni mwako
utaishi kuliwa na wote badae utabaki nunga iyemmbe. hiyo masters yako ni ya kukopi na kupaste ushindwe kujua ni yupi akufaae? kuwa makini mapenzi hayaangalii elimu na sijaona tofauti kati ya hiyo masters na degree havina uhusiano ktk mapenzi.
 
Dadam
Nakuhakikishia hapa Kongosho kamaliza kila kitu.Kama unataka kuishi kwa amani katika maisha yako olewa na mwanaume anayekupenda, kumbuka positively anavyokupenda huyu na jitahidi mrekebishe, utakuja kujuta ukimtosa huyu jamaa...
 
Hvi haya maisha yalivyo magumu,nyie wenzetu mnapata wapi muda wa kutunga hadithi kama hzi?
 
bi shosti, kifupi usione watu na ndoa zao miaka kumi ishirini ukadhani lelemana, una mwanamme anayekupenda kwa dhati na kukujali, mfanye awe vile utakavyo....kuoga mara mbili, mnunulie uturi, na uzuri
mwanaume anapesa mwambie akupe hela ukamnunulie perfume za maana, mfundishe kuswaki vizuri mara mbili au pale anapokula, vyakula vinanavyomnukiisha mdomo mwambie aviache.....

Hivi umemzidi miezi 3 ndo unajiona mkibwa? Na waliowazidi waume zao miaka 5 wasemaje?

Penzi ni vile unavyolijenga.......

Ukitaka kushow off endelea na huyo bwana wa ofsn, usidhani atakuoa, your just a fling to him, atakumega mwisho wa siku utaona wafanyakazi wenzio wanaenda kununua zawadi jamaa anao.

Narudia mahusiano yanajengwa, mjenge huyo mwanaume awe vile unavyotaka, ukimwacha atapata mwanamke anayejua kujenga ampendezeshe ubaki kuumia roho

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…