Yupi anafaa kua mume...Ushauri plz

Yupi anafaa kua mume...Ushauri plz

Tena hawa wanaojiadai wamesoma yaani utawaonea huruma wanavyonasa kwenye matundu mabovu, ninawajua wanne, huyu watano ujanja mwingi mbele kiza! Ikifika miakA 35 wanaanza kuwa vimada wazoefu, kukesha kulia na mito vitandani na kulalamikia wanaume kumbe makosa walifanya wao, isidingo nyingi, eti wanatafuta matching from haeaven!!perfect match my foot!! Usikute dogo anavumilia haarufu ya kikwapa yeye analalamikia ya mdomo!

....pole kaka,..uchungu wa mwana...

ok, labda niseme unaweza tengeneza your own soul mate.

Lakini, inabidi uangalie beyond imperfections zake.

Siamini utakutana na mtu readymade perfect for you.

Unaweza kum-customise na akawa utakavyo, bila kumpa nafasi huwezi.
Especially wanamme huwa wanakuwa kama chakula kilichopikwa ila hakikupangwa au chumvi haitoshi.

Wanahitaji kuwawekea chumvi ya kutosha, ka pilipili, mayonaizi kidogo na if possible tomato sosi, hivi hivi hawaliki wawe na pesa, elimu na kila kitu.

Ndio wanamme walivyo, tena hasa hawa husband material wanahitaji a lot polishing
sababu wanaishi katika ukweli na uhalisia wako.

Players wanaji-cutomise wenyewe kutokana na windo walopata kwa kuwa wanajua udhaifu wa wanawake wanapenda ready made.

Okay, anaweza awaache wote atafute mpya, na sijui anaenda kumsaka wapi huyo aliye perfect kwake.

Na kwa umri huo, 30 inagonga sasa hivi, waoaji wachache wenye sifa za mwanamme ni wachache mno.

...work to make it perfect bana.....
the cycle remains the same.... Chance >> Choice
Unakutana na 'kupendana' na mtu by chance, unaishi na mtu by choice...!

Work to make it 'perfect' for you two.
 
Kwa mali zao.
Kwa uzuri wao.
Kwa nasaba zao.
Kwa dini zao.
 
Nyege mbaya.................olewa na wa mwanza kisha wa dar awe hawara yako,huko ndo kula keki na kubaki nayo mkononi.
Kama unataka kujua tactic za kum cheat mme asijue niPM.

mfumo shirikishi
 
Najickia kuumia sana hata sina mchango hapa nimefuatilia wote waliojibu dah bado ni ngumu kukushauri.
Ila dadam jaribu kutafta mtu tofauti na hao wawili.
Nataman sana ningekusaidia kwa dhati tatizo langu nina umri kama wako. Pengne nakuzd miez tu.
(Ila mbali na umri ulishamaliza kilio chako) yes najikubali kwanza.
makubwaaaaaaaa asante sana kwa ushauri
 
Jamani wana JF nashukuruni kwa ushauri na maoni yenu. mmenisaidia kwanza kujitambua, pili, kuyaelewa mahusiano, tatu kujua nilipokosea na ninapoendelea kukosea, na finally imenisaidia kuanza kuangalia upya mahusiano niliyo nayo..natamani ningem PM kila mmoja kuexpress shukrani ila siwezi..asaneni jamani
 
asante...tatizo lilikuwepo tangu siku ya kwanza. vipi hayo mengine..sinitaonekana sugar mami jamani..kila ninayekutana nae tukiwa wote anadhani ni mdogo wangu

My dia katika maisha haya kamwe huwezi kumridhisha kila mtu,
Isitoshe km unampenda kwa ajili ya maisha yako wala hutajali maneno ya watu ila km unampenda kwa ajili ya showoff pole sana itakucost maishan kwa hutoweza kumpata aliye kamilika ni km ulivo ww unamapungufu yako.
 
  • Thanks
Reactions: BPM
Nyege mbaya.................olewa na wa mwanza kisha wa dar awe hawara yako,huko ndo kula keki na kubaki nayo mkononi.
Kama unataka kujua tactic za kum cheat mme asijue niPM.
Khaaaaaaaaaaa!

Shikamoo Bishanga.
 
My dia katika maisha haya kamwe huwezi kumridhisha kila mtu,
Isitoshe km unampenda kwa ajili ya maisha yako wala hutajali maneno ya watu ila km unampenda kwa ajili ya showoff pole sana itakucost maishan kwa hutoweza kumpata aliye kamilika ni km ulivo ww unamapungufu yako.

heri umechagiza kidogo , umeweka kaujazo kadogo natarajia ujazilize zaidi
 
duuuh!mdada unayaweza, wanaume wawili kwa mpigo...uko juuuuuu
 
Mimi ni msichana wa miaka 27. Nimewahi kua na uhusiano wa kimapenzi na kijana mmoja ambaye alikua ndiye mwanaume wa kwanza kwangu ila tuliachana baada ya kugundua kua mwenzangu baada ya kupata kazi hakua na mawasiliano (hata msg) nami kwa takribani miezi miwili kwa madai kua alikua bize.

Baada ya kuachana nae niliamua kua single na kukaa hivyo kwa mwaka mzima ambapo alijitokeza kijana mmoja tuliejuana Facebook nakuonyesha kunipenda sana. Sikua nikimwamini hasa kutokana na tulipokutana. Kubwa zaidi, nilimuona kua ni mdogo kua na mimi (amenipita kwa miezi mitatu tu) na tukiwa pamoja mimi naonekana mkubwa kwake kwani ana baby face.

Kijana huyu anaishi mwanza namimi naishi Dar. Kilichonifanya nimkubalie ni ule upendo aliokua akinionyesha. Alikua akitoka mwanza kwa ajili yangu, atakuja dar na kutumia siku zote na mimi bila kuwaona rafiki zake wala ndugu zake. Atakuja kila mwezi japo w. end na popote anapopata off kazini.

Anajali, ananipenda, atafanya lolote kwa ajili yangu. Mfano, alikua anakunywa pombe ila siku ya kwanza tu kukutana na kugundua kua sipendi pombe aliacha, hakua akienda kanisani ila tangu nimuulize amekua akienda bila shida. Kila mara huniambia anatamani angeweza kunifanya niwe na furaha siku zote.

Dada Dinnah, mi sio muombaji, sikuwahi kumuomba mwanaume hela au vitu kama vocha. Kaka huyu hunitumia vocha kila siku na mara kwa mara huniwekea hela Bank au kwa M Pesa hadi kuna kipindi tunashindwa kuelewana kwani naona anafanya too much. Anapokuja hunifanyia shopping na akiondoka huniachia hela.

Kielimu nimemzidi (ana degree) ila ana kazi yenye kipato kizuri, mimi elimu yangu ni degree ya pili (Masters)nafanya kazi ila pia nasoma postgraduate diploma ktk chuo kikuu cha dar es salaam kwa hiyo pamoja na majukumu mengine najilipia ada. Nasema hivi kuonyesha kua angeweza asifanye yote hayo akiamini kua nina uwezo.

Ana mtoto aliyempata akiwa sekondari na aliniambia mapema tu na maelezo yake yanaridhisha(mwanamke keshaolewa).

Tatizo nililo nalo ni kua, sijisikii kuvutiwa na huyu kaka, kwanza hajui kukiss nimejaribu kumfundisha ila naona hataaaa haelekei. Sijui midomo (lips) yake migumu na midogo..hata sielewi. Sipendi harufu ya kinywa chake, mwili wake hata akitoka kupiga mswaki au kuoga.

Pumzi yake ndo sitaki kabisaaaaaa akinihemea nashindwa kuhema. Kuna muda hata anishike vipi nahisi kama naumia na hata kama nilikua na nyege zinapotea.

Kazini, kuna kaka mmoja ambaye tulianza kazi pamoja, tulikua marafiki (very close hadi watu wakawa wanatutania (girlfriend na boyfriend) sio siri huyu kaka alinivutia sana ila nikawa najitahidi kutokumuonyesha.

Naye alikua akinambia kila siku anafurahi sana kufanya kazi pale kwani kumemkutanisha na mimi. Mara nyingi alipenda kua namimi, atanitembelea nyumbani, atanitoa out n.k kikubwa alijua kua nina boyfriend nami nilijua kua ana girlfriend. kosa nililolifanya ni kumkiss kwani siku tulipokiss tu sikuweza kumtoa mawazoni mwangu. He is a perfect kisser!!!

Huu ulikua ni mwanzo wa kujikuta namsaliti kaka wa watu na kua na uhusiano na huyu kaka. Sio siri kama kuna kitu wanakiita soul mate huyu ndie pale linapokuja suala la mapenzi romance, sex, cuddling…etc he is very good.

Tatizo la huyu kaka wa kazini sasa, mawasiliano kwake ni F. kwa siku nzima atanitumia msg moja tu nayo inasema SWEET DREAMS. Madai yake ni kua tumeonana kazini ambapo kazini kila mtu ana ofisi yake na hakuna la ziada zaidi ya HI! HI!

Mara nyingi akinitafuta like w. end tunaishia kusex na atanirudisha nyumbani kwangu like two hours baada ya tendo. Anapenda sana Pombe na marafiki kwa hiyo anaweza kukaa wiki mbili bila kukutana nami tofauti na kazini na anaweza kunambia kesho nitakutafuta mchana but atakua na sababu ya kutokuja muda ukifika.

Like ooh gari yangu imeharibika naenda garage, oooh naenda home kuwasalimia..mara oooh auncle anaumwa…ilimradi tu hatokuja.
Msg nikimtumia anajibu after 3 or more hours au hatojibu kabisa.

Nitakapokutana nae next day, ana sababu nzuri tu ya kutojibu na mara azote hujaribu kunielezea jinsi siku yake ilivyoisha. Hajawahi kunipa chochote kama zawadi au hela hata vocha ya 500.

Ninamkasirikia sana mara nyingi niwapo peke yangu ila mara tu nitakapokutana nae ananifanya nasahau yooooote nakujiona nipo mwenyewe duniani.Nimechoka kuishi katika maisha haya ya mahusiano na watu wawili.

Nashindwa nichague Yupi??? Naambiwa there is no perfect man ila kipi bora katika ndoa???nahitaji kuwa na familia baada ya mwaka mmoja na nusu tangu sasa.

Nishaurini tafadhali.

Poleni kwa maelezo marefu sana


Udhaifu wa kijana anayekuhudumia unaweza kumrekebisha na akawa safi. Tatizo la harufu ni la kibaiolojia. Linaweza kutatuliwa. Huyo unayempatia ngono anataka kukuchezea ru.
 
hilo la harufu mbaya na kukiss mbona yanatibika.
 
heri umechagiza kidogo , umeweka kaujazo kadogo natarajia ujazilize zaidi

Hapo alinigusa sana ndio maana uvumilivu ukanishinda nikatoa la moyon!!

Tatizo huyu mdada kashindwa kuweka vipaumbele vya aina ya mwanaume anayemtaka kuzingatia furaha ya maisha na furaha ya mda mchache,
Na pia ameshindwa kujua kua ktk maisha ni bora uwe na mtu aliyetimia vigezo mhimu ambavo ni in born character au inner look ambayo ndio muhimu maishan na yale mengine ya out look km hayo ya harufu na mengine yanayotibika na kurekebishika ukaongezea mwenyewe kwa kushirikiana naye,

Inaonekana akili yake imeshindwa tu kufikiria mbali zaidi kuhusu furaha ya maisha ya baadae yeye na wanae na familia kwa ujumla kwa kuwa na mtu mwenye mapungufu yanayorekebishika tena yanayohitaji jitiahada zake ili kumuweka vile atakavo km jukumu lake badala yake anang'ang'ania furaha ya mda mchache kutoka kwa mtu mwenye mapungufu yasiyorekebishika tena mwenye mtu wake!

Hakuna mwanadamu aliyekamilika humu dunian na hakuna anayeolewa au kuoa aliyekamilika na mwenye sifa zote anazozihitaji kunachotokea ni vinapopatikana vile vya muhimu mnaona mengine ni kuvumiliana na kuerekishana on the way coz hakuna mkamilifu.
 
  • Thanks
Reactions: BPM

Huyo wa kwanza ndio wako
Unachatakiwa kukifanya ni kumsaidia kupata matibabu ya Meno ili harufu hiyo imtoke na kama sio meno yanayoleta harufu basi atakua na tatizo la njia ya hewa ambayo yanatibika

What if huyu wa kwanza akiweza kissing to your standards????

and this itawezekana ukiamua kutoa tuition kwake
 
Hapo alinigusa sana ndio maana uvumilivu ukanishinda nikatoa la moyon!!

Tatizo huyu mdada kashindwa kuweka vipaumbele vya aina ya mwanaume anayemtaka kuzingatia furaha ya maisha na furaha ya mda mchache,
Na pia ameshindwa kujua kua ktk maisha ni bora uwe na mtu aliyetimia vigezo mhimu ambavo ni in born character au inner look ambayo ndio muhimu maishan na yale mengine ya out look km hayo ya harufu na mengine yanayotibika na kurekebishika ukaongezea mwenyewe kwa kushirikiana naye,

Inaonekana akili yake imeshindwa tu kufikiria mbali zaidi kuhusu furaha ya maisha ya baadae yeye na wanae na familia kwa ujumla kwa kuwa na mtu mwenye mapungufu yanayorekebishika tena yanayohitaji jitiahada zake ili kumuweka vile atakavo km jukumu lake badala yake anang'ang'ania furaha ya mda mchache kutoka kwa mtu mwenye mapungufu yasiyorekebishika tena mwenye mtu wake!

Hakuna mwanadamu aliyekamilika humu dunian na hakuna anayeolewa au kuoa aliyekamilika na mwenye sifa zote anazozihitaji kunachotokea ni vinapopatikana vile vya muhimu mnaona mengine ni kuvumiliana na kuerekishana on the way coz hakuna mkamilifu.

yea ni kweli usemayo .. kingine hana maamuzi au vitu vya msingi atakavyo kwa mtu au mwenza.. inakuwa mradi tu liende , kingie ambacho ni kibaya kaonyesha udhaifu wa kutofahamu hasa kwa wa kwanza kakubali fasta na akajivua .. sasa huyu wa pili amekuwa too emotional nadhan kafuatilia tamthilia au katika story na marafikize ndo maana akaona wa kwanza si mali kitu
 
yea ni kweli usemayo .. kingine hana maamuzi au vitu vya msingi atakavyo kwa mtu au mwenza.. inakuwa mradi tu liende , kingie ambacho ni kibaya kaonyesha udhaifu wa kutofahamu hasa kwa wa kwanza kakubali fasta na akajivua .. sasa huyu wa pili amekuwa too emotional nadhan kafuatilia tamthilia au katika story na marafikize ndo maana akaona wa kwanza si mali kitu
Haya mambo yanahitaji uelewa na busara zaidi na wala kiwango cha elimu hakihusiki kbs,
Ni vizuri kuwa namaamuzi binafsi hasa linapokuja swala la maisha na furaha ya familia yako na si kujali watu wengine wanasemaje au wananionaje!
 
  • Thanks
Reactions: BPM
Mi nadhani kuna makosa makubwa unafanya dada.. nayo ni ku-compare watu!! na hili limekuwa tatizo sana katika maisha ya mahusiano, mtu anawanaume wawili au watatu na anakuwa nao wote kwa mpigo!! na then anajaribu kulinganisha nani ana nini na nani hana, au nani mzuri katika nn na nani si mzuri...
Nachoweza kusema watu wanatofautiana, na since no body is perfect, naomba nikuambie sidhani kama utampata exactly yule unayemuota.... kuna wakati ni vzr kumkubali mtu kwa mapungufu yake ili maisha yaendelee!!
Ushauri: huyo wa kwanza ni hubby material, ila kwa kuwa huna feelings nae si vzr kuwa ne, trust me...itakucost baadae katika ndoa. Huyo wa pili ni player tu...ana wake ila anatafuta mbadala wa kupumzika.... na ww ndiye mbadala huo!!

My suggestion ni kuwa tafuta mwanaume mwingine na chukua muda kumsoma kidogo kabla ya kumtolea nguo, jua madhaifu yake na mazuri yake na jiulize kama upo tayari kukubaliana na udhaifu aliona then anza mahusiano... pls pls usifanye kama ulilofanya la kuwa na wanaume wawili kwa pamoja, hilo ni kosa kubwa na hutapata Mr. right guy..
 
Haya mambo yanahitaji uelewa na busara zaidi na wala kiwango cha elimu hakihusiki kbs,
Ni vizuri kuwa namaamuzi binafsi hasa linapokuja swala la maisha na furaha ya familia yako na si kujali watu wengine wanasemaje au wananionaje!

yeah ni kweli , na wengi tunashindwa kutofautisha asili na muda , weng hupenda vitu vya muda na vya kuonekana kwa watu .. vitu asili huonekana kwa muhusika zaidi kuliko watu wa nje ..
 
Back
Top Bottom