wow!!!! maelezi marefu ila gud.
sasa bana to be honest with u naona wote wawili hawakufai.
huyo wa mwanza tho caring u just cnt have intimacy with him which is wat marriage is all abt
huyu wa kazini seems to know how to push the right buttons with u and certainly kuna intimacy na great romance but he does not care abt u or atleast doeant see u as hiz future wife.....to him u just a frend wwith benefits.....and that is all u will be.
so wat i advise u to do ni kumwambia ukweli yulejamaa wa mwanza kuwa hapa hamna future yoyote....so kaka tafuta mwengine. dont give people qhere there is none.
huyu wa kazini mie naona just have fun since u enjoying his artwork on ur warmspot jist continie wnjoying but know full well its just fun.
kuhusu kupata familia then i suggest u luk for another man ila opportunity cost ni kumubwaga huyu jamaa that does u well in bed.....kazi kwako!!!!!!
Problem itakayojitokeza kwa huyu m'dada, baada ya kupata third relationship, ni ku-break second relationship. According to her, ni kwamba she seem to love her second boyfriend too much in stead of how he treat her out of 'soccer city', and mind you, true love never die.
My advice to this mama ni kwamba, kama anavyosemaga Mbwiga wa Mbwiguka, "funza huingia kama kiroboto, but with time kiroboto hugeka kuwa funza", bibie anachotakiwa kufanya ni ku-concetrate na hiyo relationship yake ya pili maana ndiyo itakayompa furaha katika maisha yake ya baadae. Jambo kubwa analotakiwa kujua, 'bibie' ni kwamba, before, marriage normally kila mtu huwa na tabia zake kulingana na malezi na makuzi yake, kwa hiyo asitegemee kupata mtu atakaye-fit mahitaji yake 100 percent. Atakapoingia kwenye marriage, anachotakiwa kufanya ni kuwa creative.
Na the best way anayotakiwa kuitumia katika ku-generate hiyo creativity yake ni ku-study weaknesses zake mwenyewe. Ajiulize ni kwa nini jamaa huwa hanyeshi ku-mtia akilini sana? Kwa mfano, inawezekana 'bibie' sio mtaalamu sana katika ku-attract mind ya jamaa anapokuwa nae 'soccer city', na ndiyo maana baada ya game mshkaji huwa ana-shift mind yake somewhere else.
Pamoja na mfano huo mmoja, kuna mambo mengi sana ambayo wanawake wanatakiwa kujifunza, ambayo sisi wanaume huwa tunayapenda toka kwao. Wakifanikiwa kuyajua hayo, hizi kesi ndogo ndogo kuhusu sisi zitapungua sana. Wa' dada mpo? If you are not good at holding your men, msitutupie lawama sisi, sometimes matatizo yako kwenu wenyewe. Study your weaknesses...!