Yupi anafaa kua mume...Ushauri plz

Yupi anafaa kua mume...Ushauri plz

Dada yangu uyo wa Mwanza he is a perfect guy for you!
Hayo mapungufu mwambie ukweli ili muyafanyie kazi jointly including mapungufu anayoyaona kwako pia.
Uyo wa kwa ofisi ana wake so wewe kwake ni nyumba ndogo.
Mda unaenda dada na unaitaji kuwa na mme ili uendeleze kizazi na kulinda heshima yako!
 
Wenzako wanalia mchna na ucku japo tu wapate waume wanaowapenda ww unatafuta unaowapnda wewe...! Ebu waulize wenzako wenye ndoa,utajuta maishani ukimwacha wa Mwz utanambia...
 
Sababu za kutovutiwa na wa kwanza:

Nikuulize maswali na nijibu yote.
Mwenyewe anayajua haya?
Kama hayajui yote, umeshawahi kumwambia kwa uwazi kabisa (face face) kuwa hupendezwi na haya?
Kama ulishawahi kumwambia, alisemaje?
Whatever the case, kama yuko tayari kujibadilisha, uko tayari kumsadia?
Kama alikuwa hana haya mambo ungempenda kwa dhati?
Nimeuliza hayo maswali kwa sababu hayo yote uliyoyataja hapo juu yanatatulika.
Kwa mfano, suala la kissing, kimsingi anayetakiwa ku-lead kwenye kissing ni mwanamke, na sio mwanaume.
Tatizo labda hajui jinsi ya kukufanya wewe u-lead in the kissing bila hata kujishtukia. There is a way he can learn this.
Hata tatizo la pumzi mbaya linatatulika.
Kuhusu kulingana umri wala sioni tatizo hapo.
La muhimu ni kama hayo uliyoeleza hapo yakitatuliwa utavutiwa nae?

Kuhusu huyo wa pili unadai:
Pia umedai huyu ana girlfriend.

Tatizo kubwa la huyu ni kwamba tayari ana girlfriend lakini he is cheating on her with you.
Kwa haraka haraka, kama angeamua kuachana na girlfriend wake na kuwa na wewe, kuna uwezekano mkubwa he will cheat on you too.
Remember a cheater is always a cheater.
Kuhusu communication kuwa F, mawasiliano ni muhimu sana kwenye mahusiano.
Kinachonishangaza hasemi kuwa sababu za kuwa na mawasiliano hafifu na wewe ni kwa sababu ya girlfriend wake.
Anakupa sababu ambazo possibly hata mkiamua kuwa pamoja atakuwa anakupa wewe pia.
Umesema he is a perfect kissers, lakini ninavyojua it is actually the woman who lead the man during the kissing.
Mambo ya mapenzi sijui romance, sex, cuddling, etc, yanafundishika kwa mwanaume yoyote unless hataki.
Pombe ni mbaya hasa kama anakunywa sana. Ni wanaume wachache sana wanaokubali kuacha pombe.
Hilo la kutokukupa chochote nalo ni indication kubwa kuwa moyo wake upo wapi.

Kuhusu kuwa soul mate, hata sijui kama kuna kitu kama hicho hapo. Soul make wakati unasema communication yale ni F?
Nafikiri wewe unaona kama ni soul mate, lakini sidhani kama yeye anaona hivyo.
Otherwise, angekuwa ameshamwacha huyo girlfriend wake kitambo.
Ulishawahi kumpa ultimatum is either you or his girlfriend? Alisemaje? If not, try that and will make your job easier.
But to me hakuna soul mate hapo. Soul mate ya kazini ibakie huko huko kazini.
Personally, nilishakuwa na marafiki wa kike so closely to the extent watu wakadhani tunabanjuana, but we never even kissed.
We have moved on na hata sijui wengine walipo sasa lakini watu bado wanadhani 100% kuwa tulikuwa tunabanjuana.
Ndio soul mate wa shuleni na makazini hao. Nothing more.

Ni hivi:


Huyu wa pili naona tayari kuna matatizo kama lack of communication na yeye kusema uongo but you still believe he will be a "perfect union". Sidhani.
Definitely huyo wa pili hakufai. Yes, nasema kama mwanaume hakufai. Utakujajuta baade. Majuto mjukuu.
Hata kama akiamua kuachana na girlfriend wake, na kuwa na wewe atakuja kukuumiza huko baadae. Trust me on this.
Kuhusu huyo wa kwanza, siwezijua mpaka unijibu maswali niliyokuuliza hapo juu kwanza.
Lakini na wewe sio msafi pia to the extent ya hata ya kuolewa na huyo wa kwanza.
Umem-cheat huyo wa kwanza. Kwa hiyo huna tofauti na huyo wa pili Exactly. There is no perfect man on earth. Neither there is a perfect woman.
Kwa vile no one is perfect, kilicho bora katika ndoa ni compromise.
Ndoa nyingi zina-survive kwa sababu ya compromise. Win a little loose a little.


Hili nalo tatizo tena linaweza kuwa kubwa sana.
Usipokuwa makini utachagua mtu ambaye humtaki simply because you want to have a family as soon as possible.
Suala hapa sio kuwa na familia ndani ya mwaka na nusu, bali kuwa na the right person wa kuanzisha familia.
Na hili ndilo linalokufanya ku-stick na hao wanaume wawili badala ya kuwa open in your searching
Waliosema haraka haraka haina baraka sidhani akama walikosea.
Don't limit your choice to two men simply because you want to have a family within one and half year.
Kumbuka familia inapangwa na maamuzi ya watu wawili, na sio wewe tuu.
EMT!! awali ya yote naomba nikushukuru kwa muda wako.asante kwa kupoteza muda mwingi kwa ajili yangu. i real appreciate.
1.Mwnyewe anayajua sana, tulishayaongelea sana especially when discussing the progress of our relationship. all the time it is face to face. i used a very polite and even romantic way of saying it. yeye anasema kua itakua simpendi thats why naona kama harufu na pumzi zetu haziendani. nasema hivyo kwani the problem sio kama ananuka like jasho or what...ni ile harufu ya mtu ambayo kila mtu ana yake. like ukipewa nguo ya mkeo gizani lazima utaijua hata kama haina perfume. nazungumzia ile natural harufu from god.
2. kama harufu ndo hizo, it means hata aoge, apige mswaki atumie body spray gani, his coligne will remain to be the same.
3. sijisifii ila i think i am a good leader when it comes to kissing. the problem with my guy ni kua its like anakaza sana lips zake plus ni ndogo basi inaharibu kila kitu. nikimwambia kua i enjoy zaidi anapolegeza lips, it will take few seconds and he becomes too concious hali ambayo inaharibu everything. i have tried sana na nimekua nikimpa motivations za kila aina anapofanya vizuri but still it doesnt work
sasa, ukijumlisha na ile harufu nisiyoipende..inanikata stim zote. nimejaribu pia kutumia pipi na chocolate during kissing, still it doesnt work.
TATIZO la umri sio kubwa but muonekano. anaonekana mdogo with a beautiful baby face. tatizo unajua sisi wanawake tunazeeka haraka so itakua shida hapo baadae kidogo atakaponiacha kutafuta dogodogo.
4. kama vingewezekana i will be very glad to have him forever and treasure his as my husband
KUHUSU HUYU WA PILI SASA
sikatai kwamba anaweza kua playboy, atanicheat kama alivyomcheat mwenzangu n.k
and from other comments yawezekana ni kweli hanipendi coz he does not give me the attention i need
ILA huyu mtu ni mzembe kimawasiliano kwa ujumla. sio ajabu kwake kusahau simu kwenye gari au home siku nzima. kwa hiyo sometimes anajitetea kua simu aliiacha and thats is very true kwani nilishawahi kumtumia msg hadi kesho yake nikaikuta simu kwenye gari na missed call zangu na msgs kila kitu naye comfortably yupo amelala.
kingine huyu kaka ni introvert(if you can understand) sio msemaji wa hisia na jinsi anavyojisikia.
ila kwakua we are both different. i guess hanifai

Conclusion
i better keep my self available. hakuna anaenifaa kati ya hao japo duniani hakuna perfect man na hata mimi sio perfect. nikiwa na wa kwanza nitamcheat bureeeeee. ndoa inahitaji commitment. wa pili nae atanifanya nijuteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kumfahamu
i am a single girl from now. thanx all kwa ushauri
 
Dada yangu uyo wa Mwanza he is a perfect guy for you!
Hayo mapungufu mwambie ukweli ili muyafanyie kazi jointly including mapungufu anayoyaona kwako pia.
Uyo wa kwa ofisi ana wake so wewe kwake ni nyumba ndogo.
Mda unaenda dada na unaitaji kuwa na mme ili uendeleze kizazi na kulinda heshima yako!
asante kwa ushauri
 
Sasa weye unatafta mume o mume ajuae kukic?....mi nnachojua hapo humpend huyo kaka wa kwanza kiukwel unamuonea huruma 2 kwa v2 anavokupa bt ushaur 2 temana na huyo shalohalo n huyo acyejua kis n haruf mdomon ni ugonjwa hebu jarb nenda nae hsptl mtapata tba afu mfundshe taratbu v2 unavotaka fanyiwa mkiwa faragha mama..shaurlo we ruka 2 utaishia megwa
 
Sasa weye unatafta mume o mume ajuae kukic?....mi nnachojua hapo humpend huyo kaka wa kwanza kiukwel unamuonea huruma 2 kwa v2 anavokupa bt ushaur 2 temana na huyo shalohalo n huyo acyejua kis n haruf mdomon ni ugonjwa hebu jarb nenda nae hsptl mtapata tba afu mfundshe taratbu v2 unavotaka fanyiwa mkiwa faragha mama..shaurlo we ruka 2 utaishia megwa
asante kwa ushauri
 
Wenzako wanalia mchna na ucku japo tu wapate waume wanaowapenda ww unatafuta unaowapnda wewe...! Ebu waulize wenzako wenye ndoa,utajuta maishani ukimwacha wa Mwz utanambia...

hahahahahah,hyo mikwara!
Usimtishe anaweza akapata nyc person,
 
Conclusion
i better keep my self available. hakuna anaenifaa kati ya hao japo duniani hakuna perfect man na hata mimi sio perfect. nikiwa na wa kwanza nitamcheat bureeeeee. ndoa inahitaji commitment. wa pili nae atanifanya nijuteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kumfahamu
i am a single girl from now. thanx all kwa ushauri
Kwa jinsi ulivyohitimisha, nashindwa kuelewa inakuwaje mtu mzima na mwenye shahada ya uzamilli(kama ni kweli), kichwa chake kiwe na fikra kama zako.
 
Dadam!
Mapenzi ni kitu inatoka moyoni si cha kulazimisha kwa pesa au kumuonea mtu huruma! so kama moyo haukutumi kwenda kwa wa Mwanza usilazimishe ACHANA NAE lakini fanya taratibu kiasi kwamba mpaka mwishoni nakuhakikishia mwenyewe atajishtukia yupo mwenyewe mwanaume anakunywa sumu ati anatetea penzi anaweza kuwa BABA WA FAMILIA? hicho tu kilikuwa kigezo cha kumpiga chini. Huyo wa ofisini nae naona hana future kwako anakutumia tu...tulia kwa sasa my dada coz kuendelea na huyo wa ofisini kunakuzibia bahati maana kuna wanaokuona nae wana-conclude kuwa ni jamaa yako zen nao wanakosa interest na wewe. Na hii kuwa na Masters then unasoma tena Postgraduate Diploma?? anyway ungepata mwanaume mwenye upeo angeweza pia kukushauri maana maisha si shule tu mwanzo mwisho (ukizingatia una Masters tayari) ungeweza kutumia huo muda na hiyo ada/hela unayolipa chuoni kufanya kitu kingine cha kuwaongezea kipato. Wakati huu ni wa kutulia na kupata mwenzi wako mkapanga pamoja mkaoana mkawa na familia.
Frank Temu
 
Nadhani sio wote tunauwezo mzuri kukushauri,ila nadhani nawewe huna msimamo toka awali...!Piga chini wote then anza upya kuwa single till wakija wengine tena wanaojua kissing na sex coz ni ugonjwa wako mkubwa!
 
wanamme wachache sana wasafi kabla ya kuoa.

Harufu ya mdomo, mbona kuna tiba?
Harufu ya pua aende hospitali

kukiss mfundishe, we siku ya kwanza hukubabaika?
Kiuno hakikuwa kama gari imekata senta bolt?

Anyway, sasabu humpendi ndo maana huoni solution.
Ila utakutana naye akiwa ameshaoa na kapendeza, roho itakuumaje?

Mpigishe mswaki asubuhi na kila anapomaliza kula.
Mtafutie deodorants za mwili
anza kumwangalia positively, anaonakana ni mtu responsible
na hiyo ndo uanamme, we bado unahangaika na masharobaro.

Nadhani ushauri wa Kongosho ni perfect, huyo wa kazini we mpige chini unapoteza muda wako bure. Halafu zingatia ushauri wa Kongosho kwa yule wa Mwanza. Kupata mwanaume anaye-care ni bahati, na ukimpata ujue umepata msingi wa familia yako. Hayo mambo mengine ya chumbani mtafundishana tu over time. Tatizo lenu mnataka mapenzi ya kitabuni, halafu mnasahau kuwa si wote wanaosoma au kusimuliana hayo mambo. Si ajabu wewe mwenyewe mengi umeyajua kwa kusoma au kusimuliwa!
 
Mimi ni msichana wa miaka 27. Nimewahi kua na uhusiano wa kimapenzi na kijana mmoja ambaye alikua ndiye mwanaume wa kwanza kwangu ila tuliachana baada ya kugundua kua mwenzangu baada ya kupata kazi hakua na mawasiliano (hata msg) nami kwa takribani miezi miwili kwa madai kua alikua bize.

Baada ya kuachana nae niliamua kua single na kukaa hivyo kwa mwaka mzima ambapo alijitokeza kijana mmoja tuliejuana Facebook nakuonyesha kunipenda sana. Sikua nikimwamini hasa kutokana na tulipokutana. Kubwa zaidi, nilimuona kua ni mdogo kua na mimi (amenipita kwa miezi mitatu tu) na tukiwa pamoja mimi naonekana mkubwa kwake kwani ana baby face.

Kijana huyu anaishi mwanza namimi naishi Dar. Kilichonifanya nimkubalie ni ule upendo aliokua akinionyesha. Alikua akitoka mwanza kwa ajili yangu, atakuja dar na kutumia siku zote na mimi bila kuwaona rafiki zake wala ndugu zake. Atakuja kila mwezi japo w. end na popote anapopata off kazini.

Anajali, ananipenda, atafanya lolote kwa ajili yangu. Mfano, alikua anakunywa pombe ila siku ya kwanza tu kukutana na kugundua kua sipendi pombe aliacha, hakua akienda kanisani ila tangu nimuulize amekua akienda bila shida. Kila mara huniambia anatamani angeweza kunifanya niwe na furaha siku zote.

Dada Dinnah, mi sio muombaji, sikuwahi kumuomba mwanaume hela au vitu kama vocha. Kaka huyu hunitumia vocha kila siku na mara kwa mara huniwekea hela Bank au kwa M Pesa hadi kuna kipindi tunashindwa kuelewana kwani naona anafanya too much. Anapokuja hunifanyia shopping na akiondoka huniachia hela.

Kielimu nimemzidi (ana degree) ila ana kazi yenye kipato kizuri, mimi elimu yangu ni degree ya pili (Masters)nafanya kazi ila pia nasoma postgraduate diploma ktk chuo kikuu cha dar es salaam kwa hiyo pamoja na majukumu mengine najilipia ada. Nasema hivi kuonyesha kua angeweza asifanye yote hayo akiamini kua nina uwezo.

Ana mtoto aliyempata akiwa sekondari na aliniambia mapema tu na maelezo yake yanaridhisha(mwanamke keshaolewa).

Tatizo nililo nalo ni kua, sijisikii kuvutiwa na huyu kaka, kwanza hajui kukiss nimejaribu kumfundisha ila naona hataaaa haelekei. Sijui midomo (lips) yake migumu na midogo..hata sielewi. Sipendi harufu ya kinywa chake, mwili wake hata akitoka kupiga mswaki au kuoga.

Pumzi yake ndo sitaki kabisaaaaaa akinihemea nashindwa kuhema. Kuna muda hata anishike vipi nahisi kama naumia na hata kama nilikua na nyege zinapotea.

Kazini, kuna kaka mmoja ambaye tulianza kazi pamoja, tulikua marafiki (very close hadi watu wakawa wanatutania (girlfriend na boyfriend) sio siri huyu kaka alinivutia sana ila nikawa najitahidi kutokumuonyesha.

Naye alikua akinambia kila siku anafurahi sana kufanya kazi pale kwani kumemkutanisha na mimi. Mara nyingi alipenda kua namimi, atanitembelea nyumbani, atanitoa out n.k kikubwa alijua kua nina boyfriend nami nilijua kua ana girlfriend. kosa nililolifanya ni kumkiss kwani siku tulipokiss tu sikuweza kumtoa mawazoni mwangu. He is a perfect kisser!!!

Huu ulikua ni mwanzo wa kujikuta namsaliti kaka wa watu na kua na uhusiano na huyu kaka. Sio siri kama kuna kitu wanakiita soul mate huyu ndie pale linapokuja suala la mapenzi romance, sex, cuddling…etc he is very good.

Tatizo la huyu kaka wa kazini sasa, mawasiliano kwake ni F. kwa siku nzima atanitumia msg moja tu nayo inasema SWEET DREAMS. Madai yake ni kua tumeonana kazini ambapo kazini kila mtu ana ofisi yake na hakuna la ziada zaidi ya HI! HI!

Mara nyingi akinitafuta like w. end tunaishia kusex na atanirudisha nyumbani kwangu like two hours baada ya tendo. Anapenda sana Pombe na marafiki kwa hiyo anaweza kukaa wiki mbili bila kukutana nami tofauti na kazini na anaweza kunambia kesho nitakutafuta mchana but atakua na sababu ya kutokuja muda ukifika.

Like ooh gari yangu imeharibika naenda garage, oooh naenda home kuwasalimia..mara oooh auncle anaumwa…ilimradi tu hatokuja.
Msg nikimtumia anajibu after 3 or more hours au hatojibu kabisa.

Nitakapokutana nae next day, ana sababu nzuri tu ya kutojibu na mara azote hujaribu kunielezea jinsi siku yake ilivyoisha. Hajawahi kunipa chochote kama zawadi au hela hata vocha ya 500.

Ninamkasirikia sana mara nyingi niwapo peke yangu ila mara tu nitakapokutana nae ananifanya nasahau yooooote nakujiona nipo mwenyewe duniani.Nimechoka kuishi katika maisha haya ya mahusiano na watu wawili.

Nashindwa nichague Yupi??? Naambiwa there is no perfect man ila kipi bora katika ndoa???nahitaji kuwa na familia baada ya mwaka mmoja na nusu tangu sasa.

Nishaurini tafadhali.

Poleni kwa maelezo marefu sana

Pole sana ila Dada yangu unaonekana nawe u mchakachauaji anayekupenda haumndi, unayempenda hakupendi tambua kuwa unayempenda ana mchumba wake anayependa ndio maana si kila wakati atakutafuta
 
aah,una kisa kizuri sana!enyway,none of the above,anza upya
 
dah, sikujua kama 'being a good kisser' nacho ni kigezo muhimu cha kuchagua a life partner... ; and frankly speaking, kwa vile haiwezekani kupata husband material mwenye vigezo vyote unavyovitamani, a pragmatic approach ni kuwa na mafiga matatu: a good provider; a fuc'king machine; and a good looking, six-feet, six-pack dude...
 
hahaha tatizo la egoli, sunset beach ndo hlo. . mnapenda vitu vya muda kuliko halisia. . huyo unaemuna ananuka kwa vile umempata wa kulinganisha? je wakati unbnza kumvulia chupi ulikuwa umeziba pua? huwez mkashfu mtu aliyekamili kwa mapungufu yako. . hujatulia, jiulize uamue usitaman vitu vya kupita viwezavyo kuhama.[/QUOTE
Huyo wa kwanza suala la umri mmmh sijui kama ni tatizoooooo saaaaaana yawezekana ikawa shida kwako,kinywa kutoa harufu nadhani anaweza akatibiwa, na kushindwa kukiss mbona unaweza kuongea nae tu!!!??kama mwili ni mgumu na uhamasiki sana kwenye mapenzi shower jells mbona kibao tu!!mens lotions na maurembo mengine mbona kibao tu na wataalam wapo wa kutoa ushauri?LAKINI wasiwasi wangu labda huyo jamaa ni limbukeni kidogo kwenye mapenzi sasa ninacho-hofu akija kuwa kijana wa kisure mjini wee!!patachimbika hapo itakuwa ni full shobo kudadadeki!!HUYO WA PILI mmmmhh ni play boy tu hana lolote.Ukishindwa huyo wa kwanza kumrekebisha basi piga chini wote settle down anzisha vita upya naimani utapata ingawa mmmh ni ngumu kupata mwenye sifa zoooote 100 percent,maana utapata anaejua mapenzi,anacare kwa kujibu sms,hanywi pombe kwa saaaan LAKINI utakuja gundua kuwa ni bahili mbaya alafu hapendi ndugu zako sasa kwa mfumo wa familia za ki-Africa ni tatizo tena. Hivyo TAFAKARI DADAM!!
 
Back
Top Bottom