Yupi CEO wako bora kuwahi kutokea Tanzania? Nchi masikini zinafeli wapi!?

Yupi CEO wako bora kuwahi kutokea Tanzania? Nchi masikini zinafeli wapi!?

1. MTU akipata u-CEO anaona in zamu yake nayeye ya kula
2. Mi naona shida pia iko kwa wanaowapa u-CEO. Wanatumia vigezo gani kuwapa huo u CEO?
3. MTU anakutafutia mademu unampa shavu, best yako, mkwe, mfia chama, mpiga kampeni hodari, machawa unawapa u CEO. Ni sawa kama wanaweza lakini unaweza kukuta hawawezi. Au wanaweza kuwa wanaweza lakini fika wanajua hujawapa shavu sababu ya kuweza kazi bali hayo mambo mengine. Hapo wataharibu tu
4. Hao wanaowaweka ma CEO shida iko kwao zaidi. Vigezo dhaifu na usimamizi dhaifu. Lasivyo nakupa kazi kama huwezi nakutoa. Hivyo yaani
Wenzetu CEO ni mtu muhimu sana.
Ni kwamba sisi mtu akiwa kwenye nafasi hawazi na aliyemteua hawazi ni mambo yanaenda tu imradi.
Ingekuwa ni ulaya au USA , mtendaji mkuu wa DART angekuwa zamani kashajiuzulu au kufukuzwa.
 
Kule Watangazaji hawavizii nafasi za uteuzi( uDC) Siasa za Uchawa zimeharibu sana taaluma Tanzania. Hadi Maprofesa wengi ni machawa.
Hili la kutoa nafasi za UDC kwa wasomi na waandishi bila mfumo maalumu limeharibu sana nchi. Wasomi na waandishi wamegeuka fisi wa Teuzi.
Ule umahiri na ujasiri umekwisha kabisa.
 
Kwangu wa kwanza ni ‘Charles Kimei’

Sababu, kabla ya kuwa mkurugenzi wa CRDB ameandika academic papers kadhaa kwanini banks failed under the government control (sio kote duniani) Iła kwa muktadha wa siasa za Tanzania.

Vinginevyo hata China banks zao kubwa nyingi majority shareholder ni serikali, Iła utaratibu wao wa kuendesha ni tofauti na Tanzania ndio maana zina mafanikio.

Justification ya academic papers za Kimei za wakati huo why banks failed in Tanzania wakati anaandika ndio tatizo nchi iliyonalo mpaka leo kwenye taasisi za serikali. Viongozi wanadhani wanaweza amuru taasisi za biashara zifanye nini na kuingilia strategic plans zao kupelekea kuharibu organisation mission.

Sikumbuki title ya papers zake but very educational if you search and read them, mimi nimesoma almost 13 years ago but they make a lot of sense now baada ya kuelewa siasa za Tanzania.

Mfano ni namna serikali inavyoharibu ratiba za ATCL kwa kuchukua ndege zao bila ya mpango. Kimei papers zake zilikuwa zinaelezea kuhusu matatizo hayo hayo in the banking sector (aisee ukisoma papers zake za maswala ya banking unapata elimu pana sana kuhusu changamoto za taasisi ambazo zipo under government control).

Practice what you preach, Kimei baada ya kupewa bank ya CRDB with minimal government control and intervention alikuza thamani ya bank kutoka sijui million kadhaa alipoteuliwq kuwa mkurugenzi hadi trillion mbili au kumi na mbili wakati anastaafu (not sure of CRDB current market value exactly). Nonetheless nchi zingine mpaka anaondoka mshahara usingekuwa chini ya tsh 200 million kwa mwezi (ndio uhalisia).

Ukisikiliza interview zake hata alipokuwa mkurugenzi wa CRDB kuhusu banking products ambazo bado zinahitajika kupata wateja wengi he was on a different level.

Baada ya kustaafu, akagombea ubunge na kuwa mwanasiasa; ujinga anao ongea leo unabaki unajiuliza hivi huyu ni Kimei yule-yule, au? CCM ni majanga

Wa pili kwangu ni Dorothy Gwajima kwenye afya, she is no joke; huyu mama serikali ingempa back up angeibadili wizara ya afya.

Tatu ukienda YouTube kuhusu maswala ya organisation performance kuna watanzania luluki wenye uwezo mpaka unajiuliza kulikoni mbona huyu hayupo serikalini, But then inabidi ukubali Tanzania ni nchi yenye fursa bado ukipata mtaji sahihi. Hakuna mtu mwenye akili zake timamu atataka kwenda kufanya kazi na wapuuzi walioja serikalini at senior level.

Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza vumilia kupewa maelekezo na mtu aliemzidi uwezo.
 
Wenzetu CEO ni mtu muhimu sana.
Ni kwamba sisi mtu akiwa kwenye nafasi hawazi na aliyemteua hawazi ni mambo yanaenda tu imradi.
Ingekuwa ni ulaya au USA , mtendaji mkuu wa DART angekuwa zamani kashajiuzulu au kufukuzwa.
Anayekupa u CEO anaona anakusaidia upunguze umaskini wakoooo. Sasa hapo inakuwa ubunifu una uchapakazi sifuri.
 
Ila pia unaweza pewa u CEO halafu ukazungushiwa mazingira mabovu ya kufanya kazi. Huwezi panga timu yako. Haya, ni CEO was tanesko halafu idara za serikali ndo wadaiwa sugu na huruhusiwi kuwashughulikia. Au unazungushiwa ndugu na jamaa wazembe wa waliokupa u CEO. Utaomba mma
 
Back
Top Bottom