Yupi jembe kati ya hawa wasanii?

Yupi jembe kati ya hawa wasanii?

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
416
wakuu yupi jembe hapa, kati ya msanii anayetoa single moja tu na kubeba tuzo 6 na yule anayetoa karibia ya single 10 within a week na kuambulia tuzo 2 tu, binafsi nasema aliyebeba tuzo sita kwa single moja ndio jembe. sijui mwana jf mwenzangu unasemaje hapa?
 
wakuu yupi jembe hapa, kati ya msanii anayetoa single moja tu na kubeba tuzo 6 na yule anayetoa karibia ya single 10 within a week na kuambulia tuzo 2 tu, binafsi nasema aliyebeba tuzo sita kwa single moja ndio jembe. sijui mwana jf mwenzangu unasemaje hapa?

Hata Mimi Nakuunga Mkono Kwa Asilimia120.Anaetoa Single1 Tuzo6 Ndie Noma.Anaebisha Mchawi!
 
He wamehamia huku, ule mdole wenu hautoki kwenye tundu lake mtahama nalo. Dadeki, mtanyooka mwaka huu.
 
Hahahaaaa nimemiss sana hizi thread zako zinazowachefuaga majirani.
Mie burudaaani tu.
 
Hahahaaaa nimemiss sana hizi thread zako zinazowachefuaga majirani.
Mie burudaaani tu.

sasa kama nae angetoa hizo single kumi ina maana angepata tuzo 60. kimahesabu ni kwamba,single 10 times 6 = tuzo 60
 
Back
Top Bottom