wakuu yupi jembe hapa, kati ya msanii anayetoa single moja tu na kubeba tuzo 6 na yule anayetoa karibia ya single 10 within a week na kuambulia tuzo 2 tu, binafsi nasema aliyebeba tuzo sita kwa single moja ndio jembe. sijui mwana jf mwenzangu unasemaje hapa?