Yani ni noma mimi mpaka leo ni mlevi wa movie .Umenikumbusha wakati huo nanunua cd
usinisahau mm apo aseeee napiga mkonoJack chan nampa upendeleo zaidi kwa sababu matukio mengi hufanya kweli mpaka kuumia.
Denzel washington akili kubwa
Muongeze na morgan freeman
Pakua the kings land ,lucifer the morning star, na emerald city .Sana. The Hitman's bodyguard sasa nilikua narudia rudia vipande
Hamna ana vituko sana huyo mzee. Anakuchekesha halafu yeye hachekiKisa madha faaaaaa ๐
Denzel Washington hana mpinzan ๐Jack chan nampa upendeleo zaidi kwa sababu matukio mengi hufanya kweli mpaka kuumia.
Denzel washington akili kubwa
Muongeze na morgan freeman
Kuna manukato yake yametoka yanaitwa "Mazaf**ka" na yanagombaniwa hatari. Pia amepata hatimiliki ya sauti yake akitamka "mazaf***ka" na tayari kuna emoji na katuni zinatumia hiyo sauti. Mwamba yuko vizuri sana ๐Samuel Jackson ananiachaga hoi, movie yake hawezi acha kusema mother&&#&&'
Don katika hizo IP man hasa ya kwanza na ya pili siyo mchezo.Don kuna ile movie yake inaitwa 14 blades hii ata nikiinyona Mara 100000, pia kuna Ip Man na kuna Ongback 3 ni moto
Huyo jamaa alikua muongo balaa, sema ananogesha movie hadi rahaWewe umezaliwa elfu mbili na ngapi? Sisi wa miaka ya 70 tunamkubali MKANDARA LUFUFU.
Naelewa we si pacha ake na To yeye lazima ujue kupiga mkono ๐usinisahau mm apo aseeee napiga mkono
Yupo vizuri kazi zake zimetulia sana.Denzel Washington hana mpinzan ๐
Nipe baadhi ya kazi zake niangalie mkuuDenzel Washington hana mpinzan ๐
Mzee wa Kalinyaaaa๐๐๐๐Wapeeenzi......kuna kawimbo kale kanapita,Lufufu ni Beast wa hizo kazi.Wewe umezaliwa elfu mbili na ngapi? Sisi wa miaka ya 70 tunamkubali MKANDARA LUFUFU.
Training day.Nipe baadhi ya kazi zake niangalie mkuu