TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Nilisikia huko Italy watu walikuwa wanamuabudu Diego ina maana alikuwa maarufu sanaHapo kwenye mungu mtu naona kuna ukakasi. Hakuna mwanadamu maarufu kumzidi Mungu.
Yesu alikua kabla ya chochote kuwako (mwanzo) wakati dunia ikiwa utupu na ukiwa, hivyo hakai level 1 na uliowatajaHitler
Michael Jackson
Muhhamad
Yesu
Wewe taja wako. Hii si siasa, ni kutaja tu. Tunatofautiana ufahamu na kumbukumbu.Wewe ni kilaza!Eti unataja watu wa juzijuzi tu hapo.Unaelewa ya kwamba kuna watu wameifanya hii dunia ikawa hapa ilipo leo katika nyanja za sayansi,uchumi,technolojia,siasa,imani(dini)e.t.c?
The man himself, an architect, engineer, sculptor, painter, designer na mambo mengine mengi kama anatomy, ana codes kibao ambazo hadi kesho hazijapatiwa ufumbuzi jamaa ni Genius!Leonardo da vinci
Wewe taja wako. Hii si siasa, ni kutaja tu. Tunatofautiana ufahamu na kumbukumbu.
Kwenge Orodha yako nazani Michael Jackson alitikisa Dunia, ana record za kipekee kabisa na pia kwenye harakari za Black Movement alichangia pakubwa sana kwa Wazungu kuanza kuwaelewa watu weusi,Habari wadau!!
Hivi binadamu gani au mtu gani mashuhuri unaamini ameitikisa dunia mpaka tunasema hakika huyu pengo lake halitokaa lizibike??
Wapo wachache ila unaweza kumtaja wako mfano Pele,Maradona,Michael Jackson,Michael Jordan,CR7 ,Messi n.k??
Je yupi ambaye unaweza sema hakika huyu alikuwa Mungu mtu maana kuna story nilisikia kuna watu walikuwa mashuhuri mpk wakawa wanaabudiwa.
We jamaa umenena,, Einstein &Newton[emoji119][emoji119][emoji119]Kila mtu na Fani yake. Watu wa muziki watasema wao, Kikapu watamtaja wao, Singeli watamtaja wao...
Ila Newton na Einstein vile vichwa shikamoo.
Muhhamad
Alikuwaje the Great?mmemsahau mwamba mmoja Alexander the great
hiki chuma sio poa ujue