Yupi kati ya hawa ambaye ameitikisa dunia?

Yupi kati ya hawa ambaye ameitikisa dunia?

Habari wadau!

Hivi binadamu gani au mtu gani mashuhuri unaamini ameitikisa dunia mpaka tunasema hakika huyu pengo lake halitokaa lizibike?

Wapo wachache ila unaweza kumtaja wako mfano Pele, Maradona, Michael Jackson, Michael Jordan,CR7 ,Messi n.k?

Je, yupi ambaye unaweza sema hakika huyu alikuwa Mungu mtu maana kuna story nilisikia kuna watu walikuwa mashuhuri mpk wakawa wanaabudiwa?

Hakuna hata mmoja....Hao ni entertainers hawawezi kutikisa dunia ,waliotikisa dunia ni watu wa aina ya kina Osama Bin Laden ,Carlos ,Noriega The Real Noreaga!!!
 
Kila mtu na Fani yake. Watu wa muziki watasema wao, Kikapu watamtaja wao, Singeli watamtaja wao...

Ila Newton na Einstein vile vichwa shikamoo.
Hawa Ni level nyingine.... Halafu nilichokuja kugundua Kuna watu Mungu anawashusha kwa kusudi Maalumu... Maana unakuta hata Elimu ya darasani Ni ya Kawaida tuu. Hebu Mtazame huyu wa Leo ELON MUSK... wa Tesla inc .... Ni mtu was Kawaida anachukulia wazo katika uhalisia..
 
Hawa Ni level nyingine.... Halafu nilichokuja kugundua Kuna watu Mungu anawashusha kwa kusudi Maalumu... Maana unakuta hata Elimu ya darasani Ni ya Kawaida tuu. Hebu Mtazame huyu wa Leo ELON MUSK... wa Tesla inc .... Ni mtu was Kawaida anachukulia wazo katika uhalisia..
hiyo tunaita power of mind.

akili ya binaadamu inaaribiwa sana na mitihani ya darasani,kama kipimo cha uwezo mzuri.

ila mtu akiamu kuiacha akili yake ifanue kazi,majibu mtayapata tu.
 
hiyo tunaita power of mind.

akili ya binaadamu inaaribiwa sana na mitihani ya darasani,kama kipimo cha uwezo mzuri.

ila mtu akiamu kuiacha akili yake ifanue kazi,majibu mtayapata tu.
Umeongea Point Mkuu hi mifumo ya Elimu inavuruga Sana Talanta za watu Bora hata kwa Wenzetu kidogo wanaweza kusoma wanaopenda.... Huku kwetu Majanga
 
Kwa Tanzania mkosoe Mungu kadri uwezavyo utaishi vizuri sana.

Ila, ukimkosoa Magufuli hiiiiiiiiiiiiiiiii

( Ben Saanane, Tundu Lissu, Kanguye, Azory Gwanda, et al .......[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
hata mungu ukimkufuru cha moto utakiona.
 
hiyo tunaita power of mind.

akili ya binaadamu inaaribiwa sana na mitihani ya darasani,kama kipimo cha uwezo mzuri.

ila mtu akiamu kuiacha akili yake ifanue kazi,majibu mtayapata tu.
Shida shule tunapimwa uwezo wa kukariri na sio mengineyo.. elimu yetu ya kibongo bongo inatuangusha sana, ukinitutumua ukaja nakaubunifu kadogo basi unaundiwa zengwe mf aliyetengeneza helkopta(sijui wamemficha wapi huyu), kuna mwamba nilisikia ametengeneza bunduki wakamtia ndani (only in bongo land) tunausudu vya kununua vya kutengeneza wenyewe tunapiga vita..
Kuna jamaa mwingine uko sijui mkoa gani nilisikia katengeneza umeme wa kinyesi kanza kusambazia wanakijiji wenzie mahal ambapo tanesco hawajapeleka nguzo, akaundiwa zengwe bada ya kukanae chini kuona anasaidiwa vipi na serikali ipate mapato yake. Anyway am proud kuzariwa bongo mahal peke chup ya gigi inakiki kuliko kuliko idea za Mr kuku
 
Back
Top Bottom