Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wadau!
Hivi binadamu gani au mtu gani mashuhuri unaamini ameitikisa dunia mpaka tunasema hakika huyu pengo lake halitokaa lizibike?
Wapo wachache ila unaweza kumtaja wako mfano Pele, Maradona, Michael Jackson, Michael Jordan,CR7 ,Messi n.k?
Je, yupi ambaye unaweza sema hakika huyu alikuwa Mungu mtu maana kuna story nilisikia kuna watu walikuwa mashuhuri mpk wakawa wanaabudiwa?
Yupo wp ss hv?Hamorapa.
Hawa Ni level nyingine.... Halafu nilichokuja kugundua Kuna watu Mungu anawashusha kwa kusudi Maalumu... Maana unakuta hata Elimu ya darasani Ni ya Kawaida tuu. Hebu Mtazame huyu wa Leo ELON MUSK... wa Tesla inc .... Ni mtu was Kawaida anachukulia wazo katika uhalisia..Kila mtu na Fani yake. Watu wa muziki watasema wao, Kikapu watamtaja wao, Singeli watamtaja wao...
Ila Newton na Einstein vile vichwa shikamoo.
hiyo tunaita power of mind.Hawa Ni level nyingine.... Halafu nilichokuja kugundua Kuna watu Mungu anawashusha kwa kusudi Maalumu... Maana unakuta hata Elimu ya darasani Ni ya Kawaida tuu. Hebu Mtazame huyu wa Leo ELON MUSK... wa Tesla inc .... Ni mtu was Kawaida anachukulia wazo katika uhalisia..
Umeongea Point Mkuu hi mifumo ya Elimu inavuruga Sana Talanta za watu Bora hata kwa Wenzetu kidogo wanaweza kusoma wanaopenda.... Huku kwetu Majangahiyo tunaita power of mind.
akili ya binaadamu inaaribiwa sana na mitihani ya darasani,kama kipimo cha uwezo mzuri.
ila mtu akiamu kuiacha akili yake ifanue kazi,majibu mtayapata tu.
hata mungu ukimkufuru cha moto utakiona.Kwa Tanzania mkosoe Mungu kadri uwezavyo utaishi vizuri sana.
Ila, ukimkosoa Magufuli hiiiiiiiiiiiiiiiii
( Ben Saanane, Tundu Lissu, Kanguye, Azory Gwanda, et al .......[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Eminem hapo nakataa bora Jay-ZYesu
Messi
Eminem
Wenye dini za mapokeo wamenza[emoji2211]Yesu alikua kabla ya chochote kuwako (mwanzo) wakati dunia ikiwa utupu na ukiwa, hivyo hakai level 1 na uliowataja
Yohana 1:1
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Uyo mwamba ni ny@#$%*[emoji122][emoji119]Leonardo da vinci
Shida shule tunapimwa uwezo wa kukariri na sio mengineyo.. elimu yetu ya kibongo bongo inatuangusha sana, ukinitutumua ukaja nakaubunifu kadogo basi unaundiwa zengwe mf aliyetengeneza helkopta(sijui wamemficha wapi huyu), kuna mwamba nilisikia ametengeneza bunduki wakamtia ndani (only in bongo land) tunausudu vya kununua vya kutengeneza wenyewe tunapiga vita..hiyo tunaita power of mind.
akili ya binaadamu inaaribiwa sana na mitihani ya darasani,kama kipimo cha uwezo mzuri.
ila mtu akiamu kuiacha akili yake ifanue kazi,majibu mtayapata tu.
Mzee ebu tega sikio kidogo kwa Eminem nahisi wakat unamsika jamaa maskio yako yanakua yanapokea mawimbi tofauti kidogo.. uyo jay z anatoa shikamoo kwa mwambaEminem hapo nakataa bora Jay-Z
Yule Jigga kweli ni freemason anaweza akakooa nyimbo nzima na bado ikawa hit song😂😂😂😂Mzee ebu tega sikio kidogo kwa Eminem nahisi wakat unamsika jamaa maskio yako yanakua yanapokea mawimbi tofauti kidogo.. uyo jay z anatoa shikamoo kwa mwamba