TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
- Thread starter
-
- #41
Kweli kabisa hata hivyo ni mtu ambaye ametikisa dunia katika zama zangu wngn sijawaona hata cjapata soma historia zao😂Kwenge Orodha yako nazani Michael Jackson alitikisa Dunia, ana record za kipekee kabisa na pia kwenye harakari za Black Movement alichangia pakubwa sana kwa Wazungu kuanza kuwaelewa watu weusi,
Sifahamu alipo mkuu.Yupo wp ss hv?
Wazazi wangu tu, HAKUNA zaidi yao hapa duniani.Habari wadau!
Hivi binadamu gani au mtu gani mashuhuri unaamini ameitikisa dunia mpaka tunasema hakika huyu pengo lake halitokaa lizibike?
Wapo wachache ila unaweza kumtaja wako mfano Pele, Maradona, Michael Jackson, Michael Jordan,CR7 ,Messi n.k?
Je, yupi ambaye unaweza sema hakika huyu alikuwa Mungu mtu maana kuna story nilisikia kuna watu walikuwa mashuhuri mpk wakawa wanaabudiwa?
Brian DeaconBryan Dickson, a.k.a (Actor waYesu anae ishi)
B .I.G je haingii hapo?Bila kumtaja 2Pac hii list itakuwa feki.
Huyu Hitler mbona wanamtaja taja inamaana alikuwa mafya sana kushinda Nduli Idd Amin Dada????😂😂😂Adolf Hitler aliingiza Dunia kwenye global conflict ....huyu mwamba Acha kabisa
Huyu jamaa anafahamika mpaka kwa watoto waliozaliwa usiku wa leo...Osama bin Laden
Yesu MnazarethHabari wadau!
Hivi binadamu gani au mtu gani mashuhuri unaamini ameitikisa dunia mpaka tunasema hakika huyu pengo lake halitokaa lizibike?
Wapo wachache ila unaweza kumtaja wako mfano Pele, Maradona, Michael Jackson, Michael Jordan,CR7 ,Messi n.k?
Je, yupi ambaye unaweza sema hakika huyu alikuwa Mungu mtu maana kuna story nilisikia kuna watu walikuwa mashuhuri mpk wakawa wanaabudiwa?
Marahaba mad maxKila mtu na Fani yake. Watu wa muziki watasema wao, Kikapu watamtaja wao, Singeli watamtaja wao...
Ila Newton na Einstein vile vichwa shikamoo.
Huyu Fidel Castro alikuwa na maajabu gani tupe hata tukio lake moja unalolikubali🤔🤔Osama bin Laden
Muamar Gaddafi
Fidel Castro