Cha msingi waongeze jitihada na wasilizike na promo za media za hapa nyumbani.
Exactly but WCB iz de best 4 nowDMW, empawa pia zinafanya vizuri
Kwangu Wizkidayo🙌Soko la muziki barani Afrika limekua sana kwa sasa, haishangazi kuona wasanii mbalimbali wakipishana kwenye majukwaa makubwa duniani kote kufanya show zinazowaingizia kipato.
Kuna wasanii wengi sana wa Afrika wanaovutia kiasi hadi cha nyimbo zao kuwa kwenye playlists za watu mbalimbali mashuhuri duniani, kuwa nominated kwenye tuzo kubwa kama Grammy, BET n.k, kuwa kwenye charts maarufu kama billboard, kupewa collabo na wasanii wakubwa duniani, kupiga shows Ulaya, mfano kama Burnaboy, Wizkid, Davido, Simi Diamond Platnumz, Tiwa Savage,Yemi Alade, Patoranking, Rema, Mr Eazi, Harmonize na wengineo wanafanya vizuri. Ila je, nani ni zaidi ya wote na kwa kigezo kipi?
Hiyo Jeje ka copy Joro ya Wizkidkwa sasa ni burna boy bt kwa mwaka huu mfalme wa utube anatisha coz jeje ndo ngoma kubwa baran africa mpaka sasa, inaongoza mauzo platform zote.
Jamaa hatumii nguvu saana kipaji saana...Juzi kati before Corona alijaza O2 Arena...ikiwa back to back hiyo...na aliuza tiketi zote 20000 siku3 kabra ya show..Kwa nini mkuu?
Chaliangu Ukubwa wa Music label tunaangalia idadi ya artists ambao wako signed under such label pamoja na mafanikio au ukubwa wao kwa mtu mmoja mmoja,,na kujaza 02 Arena sio kigezo,sasa uyo mayorkun na Vanny boy nani mwenye mafanikio japo Vanny boy hajajaza ata Sheikh Amri Abeid peke ake,cheki video zake zinavokimbiza uko pande za Youtube dingii!!,Aya ukija kwa Yonda ana maajabu gani ya kumzidi ata Mbosso2??,,Yaani Labda Peruzzi ila hamna2,Msanii kama Harmonize katoka DABILIUSIBII nambie msanii gani mnoma katoka Davido Music Worldwide??Ungetoa na vigezo kabisa mkuu, maana mfano kama Mayorkun aliye DMW last year alijaza O1 Arena kitu ambacho hata CEO wa WCB, Mond hajawahi kufanya
Producer aliyetengeneza jeje ndio huyo huyo ametengeneza joro ana identity yake Kama beat za T-touch lakini ukisisikiliza vizuri zina beat Kama zinataka kufanana lakini hazifanani cos ya producer ni moja lakini Zina Melody mbili tofauti
Hivi hiyo Joro ya Wizkid ndo hii hii tunaijua sisi ama??? Haya ndo imefanana nini na jeje ya Diamond? Beats ama melody za wanamuziki? Na hivi unajua producer wa hizo nyimbo?
Naomba nikulekebishe kidogo Producer wa joro sio wa jeje japo Wizkid huwa anamtumia huyo Producer.Producer aliyetengeneza jeje ndio huyo huyo ametengeneza joro ana identity yake Kama beat za T-touch lakini ukisisikiliza vizuri zina beat Kama zinataka kufanana lakini hazifanani cos ya producer ni moja lakini Zina Melody mbili tofauti
Mnigeria yeyote anayefanya vizuri ni rahisi kujaza O2 Arena kwakuwa wanaijeria wamejazana kule UkChaliangu Ukubwa wa Music label tunaangalia idadi ya artists ambao wako signed under such label pamoja na mafanikio au ukubwa wao kwa mtu mmoja mmoja,,na kujaza 02 Arena sio kigezo,sasa uyo mayorkun na Vanny boy nani mwenye mafanikio japo Vanny boy hajajaza ata Sheikh Amri Abeid peke ake,cheki video zake zinavokimbiza uko pande za Youtube dingii!!,Aya ukija kwa Yonda ana maajabu gani ya kumzidi ata Mbosso2??,,Yaani Labda Peruzzi ila hamna2,Msanii kama Harmonize katoka DABILIUSIBII nambie msanii gani mnoma katoka Davido Music Worldwide??
Ila jamaa alichoharibu hadi idea ya video kachukua kwenye JoroProducer aliyetengeneza jeje ndio huyo huyo ametengeneza joro ana identity yake Kama beat za T-touch lakini ukisisikiliza vizuri zina beat Kama zinataka kufanana lakini hazifanani cos ya producer ni moja lakini Zina Melody mbili tofauti
Acha ubishi joro imetengenezwa na producers wawili Northboy na kelp vibe, kelp vibe kutengeneza beat huku Northboy kafanya mix.Naomba nikulekebishe kidogo Producer wa joro sio wa jeje japo Wizkid huwa anamtumia huyo Producer.
Joro ilitengenezwa na Northboi huyu producer alitengeneza hit ya Soco ya Wizzy..
Alietengeneza Jeje ni Kelp Vibe ambaye alitengeneza hit kama On the low ya Burna Boy.
Na kwenye Album ya African Giant Ya BurnaBoy alipika ngoma 3.
Idea Kama ipi?
Joro produced by Nothboi...Kelp Hajahusikaa kabisaaaaaAcha ubishi joro imetengenezwa na producers wawili Northboy na kelp vibe, kelp vibe kutengeneza beat huku Northboy kafanya mix.