Yupi ni Golikipa Bora kwa Sasa Duniani?

De gea ndo kipa bora hata jana kwny mechi ya spain kadhirisha anaweza kumkalisha bench cassilas #daviesaves
 
De gea ndo kipa bora hata jana kwny mechi ya spain kadhirisha anaweza kumkalisha bench cassilas #daviesaves
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kwa mujibu wa maneno yako ushampa uwezo Cassilas na ndio mana ukasema "anaweza" japo huna uhakika
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kwa mujibu wa maneno yako ushampa uwezo Cassilas na ndio mana ukasema "anaweza" japo huna uhakika
Nimesema ivyo coz cassilas ndo kipa namba moja wa spain toka mda
 
Nimesema ivyo coz cassilas ndo kipa namba moja wa spain toka mda
Sawa ila huwez sema de gea ni number one kuna Buffon huyu atakuwa namba ipi sasa ?? Neur je?? Alafu unamtaja mkata mkaa anayepigiwa mashut na wakata mkaa wenzie kama benteke wengine wazee vijana kama Costa n.k
 
Jana nilimtazama De Gea wetu dhidi ya Liver nikasema huyu hana mfanowe kwa sasa.
Leo nimemtazama Lloris wa Totenham kwenye UCL nikasema khe!huyu katokea wapi?!
Mpira ulivyoisha wakaonyesha highlights michezo yote ya UCL nikaona Lyon vs Juve maama yangu mzazi!Huyo Buffon huyo!ndiye man of the match,mnaweza kukisia kilichokuwa kinaendelea uwanjani!Juve walikuwa na red,mechi ikawa Lyon vs Buffon!na Lyon wamechemka!Mizee mingine nuksi sanaπŸ˜€πŸ˜€,unaweza kumfuata ukampigia magoti,"tafadhali mzee,tunaomba tupitishe mpira wetu uingie wavuni"πŸ˜€πŸ˜€
 
Golikipa bora kabisa kwa sasa ni yule mwanamke asiyejishughulisha na kitu chochote..anamsubiria mumewe amletee kila kitu..huyo amewazidi hata kina DE GEA.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Dada gea(degea) ni habari nyingine,ukzingatia beki ni chizi baily
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…