Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Huyu Neymar ana mpira wa ulaya sana sio ile Samba hasa ya maharage meusi. Walikuwepo akina Manzinho na Blanco. Huyu muhindi mwekundu Rai alikuwa anakitibua sana. Siku hizi ujinga mtupu.Changamoto vijana wa siku hz hatukuwaona hao wakicheza ila haiondoi kuwa jamaa walikuwa ni mafundi haswaaa