maradona kafanya maajabu gani kumzidi pele
Anaefuatia hapo ni Hazard mkuu. Nimepiga marufuku Mfalme Messi kuwekwa kundi moja na Ronaldo
aliye na ndoo ya dunia mkononi kwa sasa ni nani mkuu
Wewe unamjua Pele?? Umemuona wapi??
Bale anamaajabu gani kwasasa?
Hivi nikweli kabisa ndani ya akili yako unaamini kuwa Ronaldo ana ubora zaidi ya Mudric na Hazard?
Kujifanya Una Miakili Yote Kumbe Unamrate Mchezaji Kisa tu Umemuona Akicheza! Na Unamu-underrate Mchezaji Kisa Hujamuona Akicheza?
Kwahiyo Utawaoverrate Luis Suarate na Ivan Rakitic Kwa Sababu Unawaona Wakicheza na Kuwazarau Wakina Platini, Gullit, Johan Cruyf, De Stefano, Gerald Muller, Kavin Kegan n.k. Kisa tu Hukuwaona Wakicheza?
Kwani Nani Aliyekutuma Uanze Kuangalia Mpira 2015?
Sio Kwasasa tu! Hata Hiyo Zamani Bale hakuwahi Kufanya Maajabu!
Labda Maajabu Ya Sura Yake Kufanana na Kiumbe flani Hivi!!
Sikuwaona LIVE pengine hata wewe hukuwaona na asilimia kubwa ya jamiiforrum members hawakupata bahati kuwaona. Isipokuwa tumewaona katika youtube.
So pele nimemfuatilia katika youtube na Maradona pia nimemfuatilia. Kwa mimi MARADONA ndiye bora zaidi ya pele. Hapo Messi nimemweka kando hana wa kufananishwa nae/Mpinzani mpaka now. Kwaheri!
Unaanzaje kumfananisha mwenzio na sokwe?? Wewe ndiye muumba au Mwenyezi Mungu ndiye kamuumba?? Wewe ukiambiwa hivyo utapendezewa! Sio vizuri mkuu.
Prove Kama Nimemwita Mtu Sokwe hapo!
Labda Maajabu Ya Sura Yake Kufanana na Kiumbe flani Hivi!!
Ulikuwa una maanisha nini hapo!! Hata kama sio sokwe but ni dhambi iliyoje kumfananisha na mnyama!!
KichuyaNikiwapanga watafuatana hivi
Neymar Jr
Eden hazard
Gareth bale
Nimekusundia Kumfananisha Na Actor Mmoja Wa Bollywood (Hindi Cinema) Anayeitwa Razak Khan na wala si Mnyama.
View attachment 700713
Au Huyu Razak Khan si Kiumbe?
razak khan