manonawire
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 943
- 1,223
aisee ungeniuliza wa zamani ningekujibu vemaKufuatia Dunia ya soka kukumbwa na uhaba wa Washambuliaji mahiri katika soka, Kuna mastraika wachache sana ambao wanaendelea na ubora wao wa kutupia nyavuni.
Je kwasasa unamkubali straika yupi?
Numbers don't lie.over rated... he needs time athibitishe ubora wake, though the guy is very talented
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]ajib
Uyu jamaa sielewagi ni pure number 9 au ni false 9Firminho
Dybala siyo straikaStraika yuko kwa wandava.. Walume ndago.. Watoto wa Hitler.. Wazee wa kazi.. Bayern, LewaGoal
Mwingine dogo janja wa juve.. Dyabala