Yupi ni straika (namba 9) unayemkubali kwasasa Duniani?

Yupi ni straika (namba 9) unayemkubali kwasasa Duniani?

c28f21d332e4305acf6f5a8c96674b56.jpg
 
  1. Aguero
  2. Mohamed Salah
  3. Mauro Lcardi
  4. Lewandownski
  5. Suarez
  6. Higuain
  7. Kane
  8. Aubameyang
 
Kufuatia Dunia ya soka kukumbwa na uhaba wa Washambuliaji mahiri katika soka, Kuna mastraika wachache sana ambao wanaendelea na ubora wao wa kutupia nyavuni.

Je kwasasa unamkubali straika yupi?
Harry kane
 
Back
Top Bottom