Yupi ni straika (namba 9) unayemkubali kwasasa Duniani?

  1. Aguero
  2. Mohamed Salah
  3. Mauro Lcardi
  4. Lewandownski
  5. Suarez
  6. Higuain
  7. Kane
  8. Aubameyang
 
Kufuatia Dunia ya soka kukumbwa na uhaba wa Washambuliaji mahiri katika soka, Kuna mastraika wachache sana ambao wanaendelea na ubora wao wa kutupia nyavuni.

Je kwasasa unamkubali straika yupi?
Harry kane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…