Yupo ICU

Yupo ICU

Mwalimu Bosco alininyooshea kidole akasema "wewe cheapest jibu swali". Hii ilikuwa kipindi cha physics

Sikuamka nikakausha.....


What happened next I am not telling..
 
Sometime mpunguze mazoea na watu ambao hawajawazoea na ambaye huna utani naye,,,,, tu***k them all..
Leo nipo zangu narefresh mind kutokana na kuyashangaza macho maajabu ya Mungu mtaani ghafla nasikia mtu ananiita tena yuko serious Na weusi wangu huu nakatisha sehemu limtu linakzana liko bize kuniita eti we whaitii we whaitii wewe nimerudi nyuma nimemtia bonge moja la ngumi nadhani yuko ICU sasa hivi 😏😏
Umemuonea bure jamaa. Unajuwa kuna ugonjwa wa color blindness, na huawaathiri zaidi wanaume.

Labda alikuwa anakuona cheupe dawa😂😂😂
 
Back
Top Bottom