Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Kamwe ndo mratibu wa kinachoendelea Uhuru stadium.Yu wapi?!
Haja onekana kabisa kwenye Tamasha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamwe ndo mratibu wa kinachoendelea Uhuru stadium.Yu wapi?!
Haja onekana kabisa kwenye Tamasha.
Uwanja wa Uhuru tena😂😂😂Yupooo alionekana uwanja uhuru....akiratibu
Nauliza hivyo maana hata msimu uliopita hakuwepo kwahiyo mnavyodandia hoja muje na majibu pia
Ally Kamwe amekesha Uwanjani, asubuhi wakakimbia mchakamchaka, wakashinda uwanjani hadi mida ya mchana waki facilitate tukio. Ulitaka awe mstari wa mbele kila eneo? Asiwapishe wenzake na yeye kupumzika kidogo?Yu wapi?!
Haja onekana kabisa kwenye Tamasha.
Wapi huko?Amesusa Manara kamtukana sana jana
Ally kamwe yupo Dubai na Hamisa.
Manara jet lee😂😂😂
Manara na Ali Kamwe hawaivi chungu kimoja ... Manara anajikomba kwa GSM huku Ali Kamwe ni chawa wa raisi wa timu.Ally Kamwe amekesha Uwanjani, asubuhi wakakimbia mchakamchaka, wakashinda uwanjani hadi mida ya mchana waki facilitate tukio. Ulitaka awe mstari wa mbele kila eneo? Asiwapishe wenzake na yeye kupumzika kidogo?
Alikwenda lakini alizimia alipokaribia uwanjani, mpaka jana usiku mida ya saa tatu hivi bado alikuwa kalazwa Agha Khan hospitaliYu wapi?!
Haja onekana kabisa kwenye Tamasha.
alikuwa uwanja wa shamba la bibiYu wapi?!
Haja onekana kabisa kwenye Tamasha.
“Yanga Walikosea kama unaweza kumtafuta Mobetto popote alipo sasa kwanini walishindwa kumtambulisha alikamwe na kama allishindwa kufika uwanjani hata wangemtaja tuu.
Soma pia: FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium
Alikuwa uwanjavwa UhuruYu wapi?!
Haja onekana kabisa kwenye Tamasha.
“Yanga Walikosea kama unaweza kumtafuta Mobetto popote alipo sasa kwanini walishindwa kumtambulisha alikamwe na kama allishindwa kufika uwanjani hata wangemtaja tuu.
Soma pia: FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium