Yupo wapi Askofu Zacharia Kakobe? Hajaonekana tangu Desemba 2021

Yupo wapi Askofu Zacharia Kakobe? Hajaonekana tangu Desemba 2021

Ningekuwa na kipaji cha kupiga makelele kwa sauti ya kukoroma, muda huu na mimi ningekuwa nakula hela tu za wale wenzangu na mimi wanao amini kila kitu wanacho ambiwa.
 
Bado anaomboleza msiba wa nduli magufuli akiwa kanisan kwake mawasiliano barabara ya kawe maana kipindi cha awamu ya tano aligeuka mpiga zumari kama masukuma gang na wale nguruwe wa uvccm.
ukabila haufai , acha lugha za kikabila , kutumia ukabila ni ishara ya umaskin wa hoja
 
Kuna jengo moja maeneo ya mbezi beach niliambiwa ni la kwake, aisee ni bonge la hekalu hadi nikashangaa baba mchungaji aka. mtumishi wa bwana kujikita kujenga ufalme duniani badala ya mbinguni.
 
Kuna Uzi Fulani uliletwa humu JF mtoto wake wa Kiume nae anamtafuta,hajaonana nae miaka mingi sana na ameandika barua zaidi ya 300 na kuzifikisha Kanisani ila majibu hajapata,ni mtu mzima kidogo,sasa unaweza kuona ilivyo kazi kujua alipo.
huyo mtoto wake ni wa mtaani, kabla hajaoa na kabla hajaokoka, enzi hizo kakobe alikuwa kwenye bendi za mziki wa kienyeji huko hajaingia kwenye injili kabisa, na inasemekana hadi miaka ya 2000 alikuwa anasali pale kwake na watu walimjua kamani mtoto wa kakobe, ila alianza tabia za kijinga akafukuzwa, mlevi wa ajabu. mtu kama ameshafika miaka 18 akaleta ujinga, huyo ni mtu mzima, fukuzia mbali kabisa huko. mfano, hivi wewe mtoto wako akiwa shoga, utaendelea kuishi naye au kumsapoti? si unamkana kabisa na kumfuta?
 
Na wanaosambaza habari eti kapoteza kumbukumbu, naomba hizo habari msinipe mimi kwani nyie sio wasemaji wa Familia au Kanisa.

Kama anaumwa augue pole ila Kakobe ni Baba yetu wa Kiroho na tunamtegemea kwa Huduma.

Kanisa au Familia ijitokeze iseme yupo wapi ili kuondoa minong'ono isiyo furahisha. Baba yetu yupo wapi?
Contradiction
 
Lengo lilisha timia, amezipiga za wajinga, amepumzika. Hana haja ya kupayuka tena mana alikuwa anjua kuwa anawadanganya wajinga! Nasikia ana jengo matata kwake hata New York halipo 😀 😀 😀 😀

Sasa zinapigwa na Mwamposa, wajinga bado wengi na wanazidi kuzaliwa!
Niliangalia makazi ya huyu mtu nikajiridhisha hapa Dar hakuna nyumba ya makazi kwa ukubwa kama ya mzee Kakobe. Haipo.
 
Umofia kwenu.

Wakuu, hivi yupo wapi Askofu Mkuu Zakaria Kakobe?

Hajaonekana Kanisani wala hakuna taarifa yoyote kumhusu kama yupo nje ya nchi tangu Desemba mwaka jana.

Tetesi ni nyingi sana kumhusu.
Kama atakuwa anaumwa, basi kaugua muda mretu sana
 
Back
Top Bottom