Yupo wapi Baba T wa East Africa Radio

Yupo wapi Baba T wa East Africa Radio

Fly to the sky Rastafari
IMG-20211111-WA0000.jpg


Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Hatimaye leo tunampuzisha katika nyumba yake ya milele


,,,May his soul rest in peace;;;;;
 
A
Mimi ni mpenzi mkubwa wa muziki wa Reggae, mara nyingi nasikiliza online hasa radio za Kenya mfano Getho radio, Vybyz radio etc.

Kwa Tanzania kipindi cha Lover's Rock cha EA radio kulikua kina nivutia sana na sababu ni moja tu mtangazaji wake Baba T jinsi anavyo host kipindi, matamshi yake pia playlist yake sio Bob Marley na Luck dube kama radio stations zingine.

Kwa hivi karibuni sijamsikia almost miezi sita sasa naomba kufahamu yupo wapi mzee wangu huyu, I really miss him terribly.
Mededi juz rip kwake
 
Back
Top Bottom