Yupo yupo tuNa mie nataka kufahamu hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo yupo tuNa mie nataka kufahamu hili.
Wapi?Yupo yupo tu
Tegeta. Kwa bahati mbaya ni kuwa Awamu ya tano ilikuwa ndivyo sivyo kwake; nikupe mawasialiano nayeWapi?
Hapana sihitaji mawasiliano nae, ila nltak kufaham yuko wapi na anafanya shughuri gan.Tegeta. Kwa bahati mbaya ni kuwa Awamu ya tano ilikuwa ndivyo sivyo kwake; nikupe mawasialiano naye
He is a frustrated man indeedHapana sihitaji mawasiliano nae, ila nltak kufaham yuko wapi na anafanya shughuri gan.
ameamua kuuza nyumba yake pale nyaishozi , hajapata mteja bado.Ila akishauza anahamia Ghana moja kwa moja, pia ana issues za work permit ndio maana hasikiki tena .Kwanza alienda Ghana kwa mwanae, akazuiwa kurudi kutokana na Corona. Mara ya mwisho alisema anarudi Desemba 2020, sijafuatilia tena kujua kama karudi. Yule alimbiawa afanye kazi hadi atakapoamua mwenyewe kuacha pale East Africa Radio. Hivyo kuna wakati anaamua tu kupumzika, kumbuka kwa sasa ana 83 miaka.
Kipindi kime kua bored sanaSaivi wamebaki akina DJ summer wanaendesha lover's rock.
Nammisi sana mzee wetu
Kivipi mkuuHe is a frustrated man indeed
Kwani sio raia wa Tanzania?ameamua kuuza nyumba yake pale nyaishozi , hajapata mteja bado.Ila akishauza anahamia Ghana moja kwa moja, pia ana issues za work permit ndio maana hasikiki tena .
Ooooh ver sorry to him. Jah awe nae daima.He is a frustrated man indeed
Boko Nyaishozi analipuka tu [emoji41]Baba T yuko Boko hapo ana blaze tu
Mc napo alienda state akaanza kutengeneza movieAbba One alikua brother man flan hivi , pia kulikua na jamaa anaitwa MC Napo
ameamua kuuza nyumba yake pale nyaishozi , hajapata mteja bado.Ila akishauza anahamia Ghana moja kwa moja, pia ana issues za work permit ndio maana hasikiki tena .
Haha! Ume ongea niniYeah man,,Tings ar gwan Yoh Bomboclat,,Conquer de Babylon King of lion,,Boom Dadyeeh,Chadydady dancehall Yes I
Ndio ni Mjamaika..Kwani sio raia wa Tanzania?