Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,574
- 1,549
Yupo Clouds Tv katika kipindi cha Sentro , yeye kama kiongozi , kipindi hicho kinachoanza saa moja na nusu mpaka saa tatu usiku .Ni muda sasa toka mwaka huu uanzehasikiki kwenye kipindi cha Power Break Fast
Mwanamama huyu mwenye haiba ya kiburi na jeiri mbele ya watangazaji wenzi hajasikika, pengine wanaojua watujuze alipo
Au ndio keshaliwa kichwa pale mjengoni
Wana kelele wale wamama wawili Babra na Baby hadi kero, mgeni haojiwi vizuri wanakua wanamuuliza maswali na kujijibu wao,Yupo Clouds Tv katika kipindi cha Sentro , yeye kama kiongozi , kipindi hicho kinachoanza saa moja na nusu mpaka saa tatu usiku .
Kikiwa kinarushwa hewani kutoka jumatatu mpaka ijumaa katika juma .
Karibu .
Ofcourse wanaboa sana wanachofanya sio taaluma japo kwenye upembuzi wa fikra wa mambo mengi Baby anaonekana kuwa na exposure na vitu vingi ila Babra ni changamoto .Wana kelele wale wamama wawili Babra na Baby hadi kero, mgeni haojiwi vizuri wanakua wanamuuliza maswali na kujijibu wao,
Hata hivyo napenda utangazaji wa Babra kuliko Baby, Baby anatabia ya kumkatisha mtu akiwa anaongea na anataka aongee yeye mwanzo mwisho, hua sipendi kua kwenye mazungumzo na watu wa dizaini yake.
Alikua anakera anazimia microphone watangazaji wenzieOfcourse wanaboa sana wanachofanya sio taaluma japo kwenye upembuzi wa fikra wa mambo mengi Baby anaonekana kuwa na exposure na vitu vingi ila Babra ni changamoto .
Fuatilia hata mambo ya dini yaani haoni aibu kushabikia mambo mbele ya kamera kitu ambacho si sawa lakini pia bado utangazaji wake anahisi yuko kwenye redio sio Tv kitu ambacho sio sawa .
Amekaa redion kwa muda wa miaka11 n sawa kwa sasa ila baadae ata zoeaOfcourse wanaboa sana wanachofanya sio taaluma japo kwenye upembuzi wa fikra wa mambo mengi Baby anaonekana kuwa na exposure na vitu vingi ila Babra ni changamoto .
Fuatilia hata mambo ya dini yaani haoni aibu kushabikia mambo mbele ya kamera kitu ambacho si sawa lakini pia bado utangazaji wake anahisi yuko kwenye redio sio Tv kitu ambacho sio sawa .
Ukiona mtangazaji anataka kuzungumza yeye zaidi jua anakuwa hana utulivu wa kiakili au pengine ana aina fulani ya trauma.Wana kelele wale wamama wawili Babra na Baby hadi kero, mgeni haojiwi vizuri wanakua wanamuuliza maswali na kujijibu wao,
Hata hivyo napenda utangazaji wa Babra kuliko Baby, Baby anatabia ya kumkatisha mtu akiwa anaongea na anataka aongee yeye mwanzo mwisho, hua sipendi kua kwenye mazungumzo na watu wa dizaini yake.
Anapenda kuwakatisha wenzie yani ana haraka haraka hata anavyoongea.Alikua anakera anazimia microphone watangazaji wenzie
Uko sahih Sana Wala ujamuonea anajisahau utadhani yko redioni hopeless SanaOfcourse wanaboa sana wanachofanya sio taaluma japo kwenye upembuzi wa fikra wa mambo mengi Baby anaonekana kuwa na exposure na vitu vingi ila Babra ni changamoto .
Fuatilia hata mambo ya dini yaani haoni aibu kushabikia mambo mbele ya kamera kitu ambacho si sawa lakini pia bado utangazaji wake anahisi yuko kwenye redio sio Tv kitu ambacho sio sawa .
Yuko maternity leaveNi muda sasa toka mwaka huu uanze hasikiki kwenye kipindi cha Power Break Fast
Mwanamama huyu mwenye haiba ya kiburi na jeuiri mbele ya watangazaji wenzie hajasikika, pengine wanaojua watujuze alipo
Au ndio keshaliwa kichwa pale mjengoni
Uko sahih Sana Wala ujamuonea anajisahau utadhani yko redioni hopeless Sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yule binti ana jeuri hata kwa watangazi wenzie japo sio sawa kuna muda uwa anawakaripia like yeye ndiye top uwa sibarikiwi naye .Alikua anakera anazimia microphone watangazaji wenzie