Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Hili linaukweli,.Alikuwa anamdharau mume wake na kumuona kama takataka hadi mumewe akapoteza mvuto kabisa akakonda vibaya sana.
ahaha duh wewe noma unaikumbuka shangilieni? yap mule aliimba poa sana full swagga na yale macho yake dah!!, na mavazi yao wenyewe ya kishamba, mule beatrice ndo kweli alikua mlokole ila tokea digital iingie akaharibikakwani alikuwa mtu wa wapi?kweli yule dada alikuwa mzuri, halafu ktk ile albam ya shangilieni aliimba vyema na kwa maringo sana. ..haswa nyimbo ya Nuhu. .''Nuhu alifanya kamavile, alivyo agizwa na Bwanaaa''
ahaha ila walikuwa washamba jaman, watu wanatoka mbaliUmenikumbusha yule jamaa aliyeimba nae wimbo wa Nuhu full burudani
Ningeshangaa 2016 kama nisingekutana na swali hili!!una ushaido
Kipindi kile ndo ilikuwa fassion kuchomekea tai kwenye mkanda..ahaha ila walikuwa washamba jaman, watu wanatoka mbali
HIVII ENHEEEE!Yani mkuu, nadhan mawazo yetu yamegongana, yaani leo hii nilitaka kuanzisha thread kuhusu huyu bidada , yan nilitak kuuliza kama wewe.
Huyu bhana nasikia yupo arusha kama sikosei, na miaka ya nyuma aliandamwa sana na scandal chafu za kutoka na vigogo wa serikalini akiwemo lowasa, kubwa kuliko kuliko ni ile scandal yake ya kuathirika na ukimwi , ilimmaliza sana na kumsababishia migogoro na mume wake pamoja na familia, tokea apo akaacha kuimba muziki wa injili kwa kukwepa aibu na fedheha, naona hii tena imejitokeza kwa florah mbasha.
Beatrice alikuwaga ni muhuni sana, kuna sehemu alikuwa anafanya kazi kule njiro kwenye studio ya mambo ya injili, alitafuna wafanyakaz karibia wote, hali iliyosababishwa afukuzwe kazi, beatrice alikuwa muhuni sana, maana mtoto mwenyewe kaumbika hatar, haswa jicho lake lile, sasa ivi sijui atakuwa wapi maana mda sijamsikia
Akina nani walisema?Si wanasema alikuwa changudoa b4
mnamuonea sasaNingeshangaa 2016 kama nisingekutana na swali hili!!
Yani hako kasehemu alikaimba fresh n.a. ndo sehemu wengi tunaikumbukakwani alikuwa mtu wa wapi?kweli yule dada alikuwa mzuri, halafu ktk ile albam ya shangilieni aliimba vyema na kwa maringo sana. ..haswa nyimbo ya Nuhu. .''Nuhu alifanya kamavile, alivyo agizwa na Bwanaaa''
Nope siye!Wamefanana tuHamjamwona kwenye tangazo la maleria, la yule daktari baba mtu mzima? That lady aliyebeba mtoto ndiye beatrice mhone
Kwani amefanyaje?Upendo Nkone