Yupo wapi bingwa wa ulozi?

Atakuwa Yuko China, alitangaza ofa ya kwenda na wafanyabiashara wenye mitaji midogo
Inawezekana, na mbaya zaidi ni ile ndege aliyotumia kwenda alilipa nauli ya to & fro sasa ndege imekwama Malaysia anaisubiria itengenezwe.
 
kashikwa na kibinti cha miaka 18 kinampa mavitu kachanganyikiwa!,mganga kasahau tungule hirizi zimeshindwa hekaheka za kitoto mahaba!..😂
 
Kaenda kutambika kule huwa wanavaa kaniki nyeusi tu simu haziruhusiwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…